Nikikumbuka Hotuba ya Mbowe siku anampokea Lowassa 27thJuly,2015 alikuwa ni mtu mwenye kuamini kabisa kuwa sasa CCM inapasuka kabisa akaenda mbali zaid kuwaanda kisaikolojia Wana Chadema kuwa kuna kundi kubwa sana kutoka CCM linakuja hivyo wajipange kuwapokea.
Bahati mbaya alisahau kuwa Jakaya ndio Mwenyekt pekee wa CCM alietumikia Chama kuanzia chini kabisa na anakijua Chama na wanachama zaid na anajua tabia zao na Mapenzi kwa chama chao, inapokuja kuchagua chama au mtu siku zote huchagua Chama. Iliwahi kutokea 1983 CCM znz ilipobidi kuchagua Rais Aboud Jumbe na CCM wengi walichagua Chama japo walikuwa wanaunga Mkono msimamo wa Jumbe wa Serikali tatu.
Bahati mbaya alisahau kuwa Jakaya ndio Mwenyekt pekee wa CCM alietumikia Chama kuanzia chini kabisa na anakijua Chama na wanachama zaid na anajua tabia zao na Mapenzi kwa chama chao, inapokuja kuchagua chama au mtu siku zote huchagua Chama. Iliwahi kutokea 1983 CCM znz ilipobidi kuchagua Rais Aboud Jumbe na CCM wengi walichagua Chama japo walikuwa wanaunga Mkono msimamo wa Jumbe wa Serikali tatu.