juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,475
WanaJf,
Naamini uchaguzi umeisha na Magufuli ni rais, iwe kwa halali au kwa njia za panya ila ndio rais, kuna lalamikalalamika ya viongozi wetu wa CHADEMA na ukawa kiujumla, kwamba tuliibiwa kura za rais, jambo ambalo mimi siliafiki na nmekuwa nikikwaruzana na wanachama kadhaa wa CHADEMA na kuitwa msariti, mnafiki, gamba, mamluki, CCM.
Ninachopingana na wenzangu ni kwamba hatukuibiwa kura, bali tulikosea kuweka mgombea urais ambaye ana madoa na tumemuimba miaka 8, tumemwita fisadi, mwizi sugu harafu leo anagombea urais, hivi mlitegemea wananchi wangetuelewa vipi?
Sasa naomba mwana ukawa yeyote anieleze"hivi kuhusu Richmond, Lowassa amewahi kujieleza hadharani na tukamuelewa? Mimi binafsi najua akiulizwa utasikia "mwenye ushahidi aende mahakamani" sasa hapo kajibu nini?Au utasikia "hakuna nililofanya ambalo raisi alikuwa hajui", sasa hilo ndio jibu?
Naomba mtu wa UKAWA mwenzangu anipe jibu je Richmond, Lowassa amewahi kujieleza akaeleweka? Kama hapana basi hatukuibiwa kura.
Naamini uchaguzi umeisha na Magufuli ni rais, iwe kwa halali au kwa njia za panya ila ndio rais, kuna lalamikalalamika ya viongozi wetu wa CHADEMA na ukawa kiujumla, kwamba tuliibiwa kura za rais, jambo ambalo mimi siliafiki na nmekuwa nikikwaruzana na wanachama kadhaa wa CHADEMA na kuitwa msariti, mnafiki, gamba, mamluki, CCM.
Ninachopingana na wenzangu ni kwamba hatukuibiwa kura, bali tulikosea kuweka mgombea urais ambaye ana madoa na tumemuimba miaka 8, tumemwita fisadi, mwizi sugu harafu leo anagombea urais, hivi mlitegemea wananchi wangetuelewa vipi?
Sasa naomba mwana ukawa yeyote anieleze"hivi kuhusu Richmond, Lowassa amewahi kujieleza hadharani na tukamuelewa? Mimi binafsi najua akiulizwa utasikia "mwenye ushahidi aende mahakamani" sasa hapo kajibu nini?Au utasikia "hakuna nililofanya ambalo raisi alikuwa hajui", sasa hilo ndio jibu?
Naomba mtu wa UKAWA mwenzangu anipe jibu je Richmond, Lowassa amewahi kujieleza akaeleweka? Kama hapana basi hatukuibiwa kura.