UKAWA watingisha Mkoani Kigoma - Kasulu

UKAWA watingisha Mkoani Kigoma - Kasulu

Mungi

JF Gold Member
Joined
Sep 23, 2010
Posts
16,975
Reaction score
9,580
Hatimaye mikutano ya UKAWA imeanza rasmi mkoa wa Kigoma, leo mkutano umefanyika Kasulu

UKAWA KASULU1.jpg
UKAWA KASULU2.jpg
UKAWA KASULU3.jpg
 
Naona mtu anasoma daftari kulikoni cheki nyomi hii hapa.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    46 KB · Views: 476
Hongereni makamanda nawatakia mafanikio makubwa
Shame on ACT and ccm kwa hila zao zimeshindwa sasa ila ACT Wamejiharibia hawafai kuwa sehemu ya wanaukombozi UKAWA
 
Naona mtu anasoma daftari kulikoni cheki nyomi hii hapa.

Unajipendekeza hakuna mtu anaekujibu mbuluka jaribu kufunguka inaonekana hata kwa watoto wako uwadanganya
 
Hongereni Sana Ukawa,interahamwe nawashirika wake walaaniwe kwa nguvu zote nakila mpinga dhuluma hapa Tanganyika na Zanzibar
 
Somo limeeleweka.nilikuwepo kwenye mkutano. Nyakarungu kamwaga sera na heche ni moto mbaya. Jamaa wamelielewa somo. Wale vijana wa ccm na ACT ya akina masud na kaijage walikaa kama vile wamenyeshewa. Wapambe wa zzk ukiwauliza apa kasulu wanasema wako NEUTRAL kama zzk. Imebaki ni aibu kwa ccm na act
 
Somo limeeleweka.nilikuwepo kwenye mkutano. Nyakarungu kamwaga sera na heche ni moto mbaya. Jamaa wamelielewa somo. Wale vijana wa ccm na ACT ya akina masud na kaijage walikaa kama vile wamenyeshewa. Wapambe wa zzk ukiwauliza apa kasulu wanasema wako NEUTRAL kama zzk. Imebaki ni aibu kwa ccm na act
 
Hawakujua kuwazuia ndiyo wanawapa promo,poor magamba
 
Nasubiria wahafidhina na wale wamrengo wa kushoto.
 
Back
Top Bottom