UKAWA WATAPATAPA:
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)
walianza wenyewe wanamaliza wenyewe Magufuli alianza na Mungu na Anamaliza na Mungu wooow Ikulu njia nyeupe
hii habari ya ukawa kuanza kutapatapa nimeanza kuisoma since February, sasa sijui tukio la kutapatapa huwa linaanza na kuachwa mara ngapi kwa mwezi?? Just last week mlileta the same thread...
Mkuu una uhakika wameanza kutapatapa??
Hawa ukiwa wanatapatapa hadi inatia aibu,vijana wao huku JF nao viroba vinawasumbua, ni shida.
Heeeee patamu hapo wameshaishiwa sera hao imekula kwao Ukawa kwishnehi
Heeeee patamu hapo wameshaishiwa sera hao imekula kwao Ukawa kwishnehi
Najua ww utakuwa ni mmoja wa timu ya watu 265 waliochaguliwa na CCM na kupelekwa Zanzibar kufundishwa namna ambavyo mnatakiwa kufanya kuhakikisha CCM inarejea madarakani. hahaa mnajiita Makapteni sasa sijui mnaendesha meli ganii...?kama ni meli ya CCM basi mjue ishatoboka sasa bado siku chache tuu itazama.
Mshahara wako wamekulipa lakini..? Tunajua ni Laki moja na elfu ishirini na tano...kwa Wiki.Hahaa yaani unauza miaka yako mitano kwa tuviela vidogo kama hivi..??
Vp Vijarida umeshagawa.... Tunajua mipango yenu hahaa jitahidini labda mtaweza kuwabadilisha fikra waTanzania wenye ari nia na mwamko wa kutaka kuyaona Mabadiliko.... Ila sidhani kama mtafanikiwa japo kwa asilimia 25 kwa Muda huu uliobaki.
Shame on you fake CCM's Captain..
Bodaboda wengine bhana
Umejikaza kabisa ukajua umeandika kitu cha maana
Kumbe ----- mtupu
Vipi umelipwa lakini ile 20,000/= yako uliyojifanya umezimia tanga?
UKAWA WATAPATAPA:
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)
walianza wenyewe wanamaliza wenyewe Magufuli alianza na Mungu na Anamaliza na Mungu wooow Ikulu njia nyeupe
Kitu kimopja cha kushangaza ni kuwa hawa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wakifika mikoani wanafanya mikutano 2 au 3 alafu wakiikumbuka tume ya uchaguzi wanarud Dar kuja kuipigia kelele. Kama mnaacha kutafuta kura kila siku nyie nikuitaka tume ya uchaguzi ilinde kura mnataka ilindekura gani ambazo hamjazitafuta? nendeni kapiganeni mikoani alafui kazi ya kulinda kura waachieni mawakala wenu na tume, au hata nao hamuwaamini? Kama mnajua kua kura zinaibiwa kwanini hamuendi mahakamani?