UKAWA watapatapa...

UKAWA watapatapa...

Twaweza walisha sema vijana wengi wano unga mkono ccm ni majuha na mkitaka kuamini hilo lipo wazi angalia jinsi ccm inavyo wabania wanafunzi wa university wasipige kura maeneo waliyo jiandikisha !
 
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??
Ndorobo wee huoni wanavyojenga hoja na kusikilizwa kama kubandika matokeo ya urais nk
 
UKAWA WATAPATAPA:
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)

Washausoma upepo hali si shwali tena UKAWA
 
Ukawa washajua kifatacho wanakwenda kula njiti ..mwisho wa siku wataiomba NEC iwaondoe CCM kwenye uchaguzi labda ndo watapumua
 
Kwani aliyekuja jukwaani kulalamika kuwa amepewa MAKAVU Mbeya ni ukawa?

Halafu nikurekebishe: CCM haina uwezo wa kujaza watu mikutanoni, ni Diamond na YaMoto Band ndio wanajaza watu. Thubutu muwaache nyuma uone kama hamkubaki na watoto wa shule mliowaleta kwa lazima bila kujali wanakosa vipindi
 
Tunataka umeme sio ngonjera zenu

Kamwambie Lowasa kwani hujui yeye na kundi lake ndio wamelifilisi shirika la Tanseco? mpaka limekua na hali ngumu kwa mkataba mbovu wa Richmond
 
Mzee Mwanakijiji umekamata kwenyewe.Nadhani Mh.km amerudi ktk hii safu basi hii aiwekee note,ni extract muhimu.Serikali hadi leo bado wapo wanjisuasua kwa copywrites za wasanii tuu hawajui hata ktk patent kunaweza watoa wabongo kibao,kwani mtu km analowazo jipya na zuri akilewekewa patent analiuza au kukopea nalo na kuweza fanya kazi kwa kipindi fulani ambacho atakuwa amerudisha gharama zake na ndio sasa fungulia mbwa ianze ili kuleta upinzani.
Lakini leo hii hata jamaa wa chai maharage enzi zile,au chakula cha waathirika Arusha,Au mchoraji wa leo anaweza fikisha proposal yake bank leo ya kuomba mkopo kwa ajili ya wazo lake kesho akakuta hilo wazo limeshafanyiwa kazi na tajiri moja nguvu za kutisha.
Mzee mwanakijiji hii itapiga bao si utalii peke yake bali kila sector.Patakuwepo mfumuko wa mawazo na ubunifu wa kila nyanja ambao utaleta mafanikio makubwa.Mtaji wa kila raia utakuwa akili yake,na mafanikio ya makampuni yatakuwa mitaji yao.

Kwani lowasa kafisadi leo? Au huu mgao kwenu umeanza toka kipindi lowasa anafisadi?
#Bringbackourpower
 
Na watalia na kusaga meno baada ya JPM kuapishwa!!
 
Ukawa washajua kifatacho wanakwenda kula njiti ..mwisho wa siku wataiomba NEC iwaondoe CCM kwenye uchaguzi labda ndo watapumua
Maccm mwaka huu tena!? Hapana sema hapana kwa masilahi mapana ya Taifa letu. Tumewavumilia sana kwa madudu yao miaka yote, sasa tuseme basiiiiii. Chagua Ukawa chagua Lowassa.
 
Najua ww utakuwa ni mmoja wa timu ya watu 265 waliochaguliwa na CCM na kupelekwa Zanzibar kufundishwa namna ambavyo mnatakiwa kufanya kuhakikisha CCM inarejea madarakani. hahaa mnajiita Makapteni sasa sijui mnaendesha meli ganii...?kama ni meli ya CCM basi mjue ishatoboka sasa bado siku chache tuu itazama.

Mshahara wako wamekulipa lakini..? Tunajua ni Laki moja na elfu ishirini na tano...kwa Wiki.Hahaa yaani unauza miaka yako mitano kwa tuviela vidogo kama hivi..??

Vp Vijarida umeshagawa.... Tunajua mipango yenu hahaa jitahidini labda mtaweza kuwabadilisha fikra waTanzania wenye ari nia na mwamko wa kutaka kuyaona Mabadiliko.... Ila sidhani kama mtafanikiwa japo kwa asilimia 25 kwa Muda huu uliobaki.

Shame on you fake CCM's Captain..

Huu uchaguzi upite tu maana naona kuna watu mmewekeza hisia zenu zote. Sijui ndio panic...
 
Ukawa hawawezi kuchukuwa madaraka kwa kipindi hiki maana hawajajipanga vzr wanasuasua labda kwa zaidi ya miaka km kumi.
 
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??

Kilizi namba 1 ni Mbatia;
Akifuatiwa na Mnyika.
Mbatia alilia we akituaminisha kuwa watu hawataandikishwa BVR.
Akidai haiwezekani.
Katunisha misuli weeee.

Nchi nzima watu wameandikishwa. Ambaye hakuandikishwa ni mzembe tu. Isipokuwa labda wale waliokuwa wagonjwa au waba dharura ya msingi.

Akaanza tena kulia lia..ohoo tume wataiba ooojhoo...Mzee Lubuva kasema taabu iko wapi. Unapiga tunahesabu hapo hapo...

Mara sasa hivi ohoo eti huyu mama anataka kuniua...ha ha Mbatia auawe...hata akifa au akijitoa Ukawa leo...athari yake ni ndogo kuliko harufu ya nanihiii.
Kisa mama katunisha msuli na kumkosoa hadharani.

Watu wamekuwa wakulialia tu.

Kha!
 
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)

Tulisikia mengi humu ndani kuhusu mkakati mzito Wa ukaw wa toroka uje na tukaambiwa viongozi waandamizi wa ccm kama kumi hivi wataamia ukaw mpaka leo zimebaki siku 22 hakuna aliyeturoka wala aliyekuja. Sana sana tunasikia wanakanusha tu. Na kwenye majimbo mengi kampeni hazijafanyika neno zuri unaloweza kusema hapa ni ukaw sasa wanatapatapa na mgombea ameanza kuugarimu umoja. Kazi kwenu
 
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??

Ukiona hivyo ndo ujue wameshaona wanaelekea kushindwa so chakufanya ni kutafuta huruma za wananchi
 
Ukawa ni aina ya dawa inatibu na
kutokomeza ugonjwa wa CCm na
kukuwezesha kupata kinga ya
mwili aina ya mabadiliko...
 
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??

Wanalialia kwa sababu hawana Sera.
 
Twaweza walisha sema vijana wengi wano unga mkono ccm ni majuha na mkitaka kuamini hilo lipo wazi angalia jinsi ccm inavyo wabania wanafunzi wa university wasipige kura maeneo waliyo jiandikisha !

Mkuu Unauhakika Gani?Onyesha Ni Wapi Wamewabania Wasipige Kura?
 
Ndorobo wee huoni wanavyojenga hoja na kusikilizwa kama kubandika matokeo ya urais nk

Mkuu Mbona Hiyo Kubandika Matokeo Ya Urais,mnyika Mwenyewe Alisema Ipo Kwenye Sheria Kabisa So Sio Kitu Cha Kujisifu Eti Wamejenga Hoja Wakati Kisheria Ipo Hiyo...
 
Wanaugua election fever na kifo chao ni oct. 25
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom