Ndorobo wee huoni wanavyojenga hoja na kusikilizwa kama kubandika matokeo ya urais nkUKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??
UKAWA WATAPATAPA:
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)
Tunataka umeme sio ngonjera zenu
Mzee Mwanakijiji umekamata kwenyewe.Nadhani Mh.km amerudi ktk hii safu basi hii aiwekee note,ni extract muhimu.Serikali hadi leo bado wapo wanjisuasua kwa copywrites za wasanii tuu hawajui hata ktk patent kunaweza watoa wabongo kibao,kwani mtu km analowazo jipya na zuri akilewekewa patent analiuza au kukopea nalo na kuweza fanya kazi kwa kipindi fulani ambacho atakuwa amerudisha gharama zake na ndio sasa fungulia mbwa ianze ili kuleta upinzani.
Lakini leo hii hata jamaa wa chai maharage enzi zile,au chakula cha waathirika Arusha,Au mchoraji wa leo anaweza fikisha proposal yake bank leo ya kuomba mkopo kwa ajili ya wazo lake kesho akakuta hilo wazo limeshafanyiwa kazi na tajiri moja nguvu za kutisha.
Mzee mwanakijiji hii itapiga bao si utalii peke yake bali kila sector.Patakuwepo mfumuko wa mawazo na ubunifu wa kila nyanja ambao utaleta mafanikio makubwa.Mtaji wa kila raia utakuwa akili yake,na mafanikio ya makampuni yatakuwa mitaji yao.
Maccm mwaka huu tena!? Hapana sema hapana kwa masilahi mapana ya Taifa letu. Tumewavumilia sana kwa madudu yao miaka yote, sasa tuseme basiiiiii. Chagua Ukawa chagua Lowassa.Ukawa washajua kifatacho wanakwenda kula njiti ..mwisho wa siku wataiomba NEC iwaondoe CCM kwenye uchaguzi labda ndo watapumua
Najua ww utakuwa ni mmoja wa timu ya watu 265 waliochaguliwa na CCM na kupelekwa Zanzibar kufundishwa namna ambavyo mnatakiwa kufanya kuhakikisha CCM inarejea madarakani. hahaa mnajiita Makapteni sasa sijui mnaendesha meli ganii...?kama ni meli ya CCM basi mjue ishatoboka sasa bado siku chache tuu itazama.
Mshahara wako wamekulipa lakini..? Tunajua ni Laki moja na elfu ishirini na tano...kwa Wiki.Hahaa yaani unauza miaka yako mitano kwa tuviela vidogo kama hivi..??
Vp Vijarida umeshagawa.... Tunajua mipango yenu hahaa jitahidini labda mtaweza kuwabadilisha fikra waTanzania wenye ari nia na mwamko wa kutaka kuyaona Mabadiliko.... Ila sidhani kama mtafanikiwa japo kwa asilimia 25 kwa Muda huu uliobaki.
Shame on you fake CCM's Captain..
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??
Twaweza walisha sema vijana wengi wano unga mkono ccm ni majuha na mkitaka kuamini hilo lipo wazi angalia jinsi ccm inavyo wabania wanafunzi wa university wasipige kura maeneo waliyo jiandikisha !
Ndorobo wee huoni wanavyojenga hoja na kusikilizwa kama kubandika matokeo ya urais nk