UKAWA watapatapa...

UKAWA watapatapa...

Mapirobe

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
683
Reaction score
117
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)
 
UKAWA WATAPATAPA:
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)

Kutapatapa
 
Daah,ila kweli!hawana cha maana wanachofanya sasa zaidi tu ya kulalamika,washapoteza muelekeo
 
UKAWA WATAPATAPA:
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)


Heeeee patamu hapo wameshaishiwa sera hao imekula kwao Ukawa kwishnehi
 
Najua ww utakuwa ni mmoja wa timu ya watu 265 waliochaguliwa na CCM na kupelekwa Zanzibar kufundishwa namna ambavyo mnatakiwa kufanya kuhakikisha CCM inarejea madarakani. hahaa mnajiita Makapteni sasa sijui mnaendesha meli ganii...?kama ni meli ya CCM basi mjue ishatoboka sasa bado siku chache tuu itazama.

Mshahara wako wamekulipa lakini..? Tunajua ni Laki moja na elfu ishirini na tano...kwa Wiki.Hahaa yaani unauza miaka yako mitano kwa tuviela vidogo kama hivi..??

Vp Vijarida umeshagawa.... Tunajua mipango yenu hahaa jitahidini labda mtaweza kuwabadilisha fikra waTanzania wenye ari nia na mwamko wa kutaka kuyaona Mabadiliko.... Ila sidhani kama mtafanikiwa japo kwa asilimia 25 kwa Muda huu uliobaki.

Shame on you fake CCM's Captain..
 
UKAWA WATAPATAPA:
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)

hii habari ya ukawa kuanza kutapatapa nimeanza kuisoma since February, sasa sijui tukio la kutapatapa huwa linaanza na kuachwa mara ngapi kwa mwezi?? Just last week mlileta the same thread...

Mkuu una uhakika wameanza kutapatapa??
 
UKAWA WATAPATAPA:
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)

Kweli mfamaji haachi kutapatapa
Wamekubali kuhamishia kinyes seburen
Na sasa sebure imekuwa choo

Yaaan kifupi ukawa kwisha habari yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom