Ukawa Wapo Moshi... Kikao chataka kuanza... Karibu

Ukawa Wapo Moshi... Kikao chataka kuanza... Karibu

wamekuja moshi kufanya nini wakati katiba inatungwa bungeni au lipo bunge lingine moshi.
 
Helkopta ndio inafika... Muda si mrefu kikao kitaanza

kazi yao kuzurula na chopa kama popo wakati watanzania wanataka hoja zenye manufaa kiuchumi na kijamii haya mengine kama ya katiba ukawa naona wanatuzingua.
 
Maskini cdm. Mnakumbuka utabiri wa Wasira? Alisema kuja kufika 2015 cdm haipo(ahera) sasa hiyo naiona. Siku hizi husikii mkutanoio wa chadema utasikia ukawa. Huwezi kwenda mkutano wa Slaa/Mbowe/Lisu na wahuni wengine ukasikia Peoples Power. Ni kakundi kanaitwa Ukawa . Wengi hasa amabao walikuwa mburura kidogo nadhani na B8 naye yumo kundi hili, wameshajua kuwa utabiri wa nabii Steven karibu unatimia, wale mburura wengine hawajielewa na bado hawaamini kuwa cdm ndio basi tenaaaaa. Subiri kidogo uone
 
UKAWA chochea motoooooo!!!!! Interahamwe wako ICU, hali ni mbaya, wanapumulia mashine!
 
Maskini cdm. Mnakumbuka utabiri wa Wasira? Alisema kuja kufika 2015 cdm haipo(ahera) sasa hiyo naiona. Siku hizi husikii mkutanoio wa chadema utasikia ukawa. Huwezi kwenda mkutano wa Slaa/Mbowe/Lisu na wahuni wengine ukasikia Peoples Power. Ni kakundi kanaitwa Ukawa . Wengi hasa amabao walikuwa mburura kidogo nadhani na B8 naye yumo kundi hili, wameshajua kuwa utabiri wa nabii Steven karibu unatimia, wale mburura wengine hawajielewa na bado hawaamini kuwa cdm ndio basi tenaaaaa. Subiri kidogo uone
Wassira yupi?

th


Huyu? Je keshapona?

th


Au huyu? Je keshaamka?


th


Au huyu? Loo bado kauchapa!

Labda alikuwa anaota tu! Kweli Wassira, kwa ndoto za mchana, hawezekani!
 
Back
Top Bottom