UKAWA wamsusia Magufuli

Halafu hata mimi swala hili linanitatiza kweli: eti Ukawa walikuwa wanataka raisi mkali na mwenye kuchukia hatua za kijasili. Leo amepatikana wanaaza kuogopa ogopa!! Kana kwamba wao ndiyo wanachukua hatua hizo za kijasili. Eti bora angekuwa yule yule ..huu ni unafiki uliokidhiri!!
 
Mbowe anajishaua tu, nani aliwaalika? Mnapenda kudeka deka tu. Nani anamuitaji mwingine kati ya Magu na nyie?
 
Mheshimiwa Rais hawezi kupoteza muda kushughulikia mambo ya kuhuni yanayofanywa na vyama Fulani! Kumbukeni anayo Mamlaka ya kushughulikia wahuni wote wanaomkashifu hapa jamvini maana tunawajua!!
 
Tanu na Afroshiraz oyeee....CCM ni nini vile?
 
Slaa ndiyo alikuwa anajua kuendesha kile chama, sasa hivi hali ni tete.. mawazo ya kinyumbu ndiyo yametawala!!
 
Mimi Ningeshauri hawa wakuu wa siasa wadumishe upendo kwani chuki ikienea hata wtt wao hawatasalimika,
 
Dictator uchwara

Mwenzako Lissu anatetewa Na Mawakili 17 Na wote wanalipwa Na Chama....

Sasa sijui wewe utasimamisha Mawakili wangapi Na huku chama hakikutambui.!
 
Toeni na waraka wa kukosa mwaliko kama yule meya wa kinondoni
 
Mheshimiwa Rais hawezi kupoteza muda kushughulikia mambo ya kuhuni yanayofanywa na vyama Fulani! Kumbukeni anayo Mamlaka ya kushughulikia wahuni wote wanaomkashifu hapa jamvini maana tunawajua!!
Haya ndio mawazo ya kidikteta, Rais hana mamlaka unayodhani anayo.

Tuna mihimili mitatu, Bunge, serikali na mahakama, ni hasara kwa Taifa kuwa vijana wenye upeo finyu na dhaifu kama wewe. Hopeless kabisa.
 

Wao walale na kuamka asubuhi na maigizo alafu wayaite mgogoro kisha walazimishe kila mtu aseme na kuamini ni mgogoro.....! Nani Ana muda wa kuendekeza siasa za kitoto namna hiyo...
 
Haya ndio mawazo ya kidikteta, Rais hana mamlaka unayodhani anayo.

Tuna mihimili mitatu, Bunge, serikali na mahakama, ni hasara kwa Taifa kuwa vijana wenye upeo finyu na dhaifu kama wewe. Hopeless kabisa.

Hivi Nani mwenye mamlaka ya kuvunja Bunge?!
 
Kwani huo mwaliko haukuwa wa kisiasa? Bahati yao wangeenda tuu wangeambiwa wamefuata ubwabwa hivyo mkusanyiko wao ni haramu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…