UKAWA waitisha kikao cha dharura


Mbowe kama ameenda Marekani anatuacha tunapambana wenyewe hapo kuna shida huko juu, kibaya zaidi mgombea wetu ni shida kujieleza mwenyewe.
 
Hilo halina ubishi na anaebisha kwa hilo kina siku atamkana baba yake au mama yake mzazi. Fuatilia kwa kina mgombea mwenza ukawa kwa sasa amesitisha campaign. Hali ni tete.
 
falure story as usaually...we shoga humbadilishi mtu..
 
Ulichukua buku 7 yako kabisa au wanasubiri feedback ya uharo wako mkuu??
 

ya ukawa yanakuhusu nini wewe??
 

Mbona hali ni mabya kama ndo hivo, CCM watashinda kiulaini.
 
Yani kiitendo tu,Cha dharura kuwa"Dharula"Imeonekana aliyeandaa uzushi huu alivyo kilaza
Cc Moderator
 
Last edited by a moderator:

Mwaka huu kum'nyoko mpaka mtage!! Mnatapatapa sana maccm nyie!! Umeona nyomi la Karagwe leo?
 
Dogo na post zako 92 unataka umaarufu???
 
Mnajitekenya na kucheka wenyewe,mara Mbowe yupo US mara kikao cha dharula, mara Magufuli for change,mwaka huu mtang'oka tu,pigeni pigeni miguu kwa mara ya mwisho....Huku site hali ni mbaya ulizeni team ya watu 32 upepo upo vp watawapamajibu.....#tukutane october #
 
Ukawa ni lawama kila kukicha, juzi Mbatia alikuwa akilia kwa kutoa lawama, jana viongozi wandamizi NCCR Mageuzi nao wakaja juu, CUF nako ni shida,kweli huu ndo upinzani njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…