UKAWA waita Wahariri, waahirisha ghafla na kuomba radhi

Me sikubali kuwa Rais Slaa anaweza akamkubali fisadi yule anayemuimba kila siku. Itakuwa ni moja ya maajabu ya dunia. Atapoteza credibility yake yote. Na nyie wanaUkawa mnaokubali sijui mna matatizo gani.
 
Mod, wakati Wahariri tukiwa njiani kuelekea Bahari Beach kuwasikiliza UKAWA, imekuja taarifa nyingine kutoka Jukwaa la Wahariri ikisema UKAWA wameahirisha Press Conference. Wameomba radhi, lakini wameweka angalizo wakitaka Wahariri wawe standby kwa maana hiyo Press Conf. inaweza kuitishwa tena. Naomba uunganishe hii taarifa hapo juu ili wananchi wajue.
Naona yale yale ya CCM ya kuwaweka wananchi roho juu ndiyo haya tena yanayoletwa na UKAWA. Wananchi wana kiu ya kupata jawabu la suala hili.
Hii habari imenisikitisha na inaleta picha ukawa hawana msimamo wala mipango inayoeleweka
 
ha!ha!ha! nafurahikabla sijajua kitakachotokea!il nikiziangalia sura za watani wetu zilivyosawajika nadhani kwetu ni kutamu!maana wajomba hawana raha toka mapema leo wanatamani dunia isimame au siku iahirishwe !
 
siasa ya Tanzania nadhani niya kipekee duniani kwan inaweza kumfanya mwarifu kuwa shujaa kwa manufaa yao na sio ya nchi.leo hii yule fisadi anasubiriwa kuwa shujaa
 
Mod, wakati Wahariri tukiwa njiani kuelekea Bahari Beach kuwasikiliza UKAWA, imekuja taarifa nyingine kutoka Jukwaa la Wahariri ikisema UKAWA wameahirisha Press Conference. Wameomba radhi, lakini wameweka angalizo wakitaka Wahariri wawe standby kwa maana hiyo Press Conf. inaweza kuitishwa tena. Naomba uunganishe hii taarifa hapo juu ili wananchi wajue.
Naona yale yale ya CCM ya kuwaweka wananchi roho juu ndiyo haya tena yanayoletwa na UKAWA. Wananchi wana kiu ya kupata jawabu la suala hili.

Wametoa sababu za kuahirisha hiyo press conference?
 
Me sikubali kuwa Rais Slaa anaweza akamkubali fisadi yule anayemuimba kila siku. Itakuwa ni moja ya maajabu ya dunia. Atapoteza credibility yake yote. Na nyie wanaUkawa mnaokubali sijui mna matatizo gani.
Hata kwa muumba nikawaida adui wake mkubwa kugeuka rafiki wakaribu siku tu akikubali makosa na kutubu zambi
 
Tulieni MAKAMANDA Updates zinakuja na mambo yataenda sawasawa bila tatizo mpaka tuhakikishe tumeyatokomeza kabisa mapanya buku yote.
 
naona kuna backchannel ziko on fullswing hivi sasa.
pengine lowasa anamwambia magufuli,either unanipa uwaziri mkuu nisiende chadema,ama tupambane kwenye majukwaa,amua moja.


huku napo chadema wanamwambia lowasa,"njoo huku,slaa atakupa uwaziri wa fedha,ila kwasasa utuazime bilioni zako tufanyie kampeni,utakuja kujilipa ukiwa waziri"


na kule,seif sharifu anamwambia lipumba,"ukikubali kutogombea tu,imekula kwako,watakuja kukupa ukuu wa wilaya ndo utabana ngenge"
 
Me sikubali kuwa Rais Slaa anaweza akamkubali fisadi yule anayemuimba kila siku. Itakuwa ni moja ya maajabu ya dunia. Atapoteza credibility yake yote. Na nyie wanaUkawa mnaokubali sijui mna matatizo gani.
Slaa ni Rais wa karatu, TFF au Yanga?
 
ImageUploadedByJamiiForums1437914160.251943.jpg kama iyo
 
Wengi wao sio wana Ukawa. Ni vibaraka wa Lowassa na maCCM na wanachokifanya hapa ni propaganda

Me sikubali kuwa Rais Slaa anaweza akamkubali fisadi yule anayemuimba kila siku. Itakuwa ni moja ya maajabu ya dunia. Atapoteza credibility yake yote. Na nyie wanaUkawa mnaokubali sijui mna matatizo gani.
 
Kumekuwa na uzushi wenye bashishi kuwa Ndugu Edward Ngoyai Lowassa atajiunga CHAEMA/UKAWA. Wengine wamefikia hata kumpa nafasi ya kugombea Urais huko. Pamoja na uzushi wao,wasemaji na wahabarishaji hao ni wageni kama si mambumbumbu wa kumfahamu Edward Lowassa.

Lowassa ni mwanaCCM kwelikweli. Si wa kubabaisha au kubabaishwa. Anaijua CCM na mifumo yake. Anaijua CCM na maamuzi yake. Lowassa,tangu alipokuwa TANU Youth League,amekuwa mtiifu na mfuata maamuzi. Amekatwa Dodoma,amekubali popote atakapokuwa.

Lowassa si wa kuunda zengwe dhidi ya CCM. Si wa kuingia kwenye physical and psychological real battle na CCM. Si Lowassa nimjuaye. Najua kitengo kilipiga ngoma ya kumchora kama mhamaji. Lakini,si kweli. Lowassa amekuwa Lowassa ndani ya siasa. Siasa za CCM. Hawezi kubomoa nyumba ambamo anaishi.

Acheni kuambiana na kuamini uzushi juu ya Lowassa. Lowassa ahami kimwili wala kiakili toka CCM. Wapeni nafasi ya kula nanasi UKAWA. Wawatajie mgombea wao wa kupambana na wetu: Dr. J.P. Magufuli aka Tingatinga!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam


Mzee Tupatupa wa Lumumba, vp kuhusu hii habari kuwa mwenyekit alijaribu kumtafuta lowasa kwa simu bila mafanikio
 
Mod, wakati Wahariri tukiwa njiani kuelekea Bahari Beach kuwasikiliza UKAWA, imekuja taarifa nyingine kutoka Jukwaa la Wahariri ikisema UKAWA wameahirisha Press Conference. Wameomba radhi, lakini wameweka angalizo wakitaka Wahariri wawe standby kwa maana hiyo Press Conf. inaweza kuitishwa tena. Naomba uunganishe hii taarifa hapo juu ili wananchi wajue.
Naona yale yale ya CCM ya kuwaweka wananchi roho juu ndiyo haya tena yanayoletwa na UKAWA. Wananchi wana kiu ya kupata jawabu la suala hili.
CC: Invisible, Moderator
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom