UKAWA+TANESCO lazima kieleweke October 25

UKAWA+TANESCO lazima kieleweke October 25

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,564
Reaction score
8,876
Sio siri TANESCO wana mchango mkubwa sana katika kufanikisha ushindi hapo mwezi wa 10, ni mwenda wazimu atakaye puuza mchango wa TANESCO, na nawaomba waendelee kukata umeme hivyo hivyo tukutane October 25.
 
Nakwambia Tanesco tutaifumua yote,alafu tutajionea jinsi majizi yalivyojimilikishia fedha na kupeana madaraka kiholela,MTU ni form 4 eti ndio meneja mkoa...ccm to hell...
 
umeme haujakatwa ila kuna mgao tangu umeanza ni mwezi mmoja sasa,je mlitaka tufanyaje?hatuwezi tangazia umma kuhusu mgao maana hiki ni kipindi kigumu sana kwa watawala so tunapiga kimya kimya,wenyewe hatupendi lakini tutafanyaje?
 
Back
Top Bottom