kuungutana
Senior Member
- May 9, 2012
- 148
- 59
Wadau wapenda mabadiliko.
Kuna baadhi ya majimbo wagombea wawili wamerudisha forms kinyume na mgawanyo wa majimbo ulivyoainisha.Mfano ni jimbo la mlalo ambalo ni la CUF kimgawanyo lakini mgombea wa CHADEMA nae karudisha forms.
Ni vema changamoto hii ika tatuliwa kinyume chake jimbo litaenda Lumumba.
Kuna baadhi ya majimbo wagombea wawili wamerudisha forms kinyume na mgawanyo wa majimbo ulivyoainisha.Mfano ni jimbo la mlalo ambalo ni la CUF kimgawanyo lakini mgombea wa CHADEMA nae karudisha forms.
Ni vema changamoto hii ika tatuliwa kinyume chake jimbo litaenda Lumumba.