UKAWA sasa IKAWA?

Eti hawana sifa za kuwa viongozi...hapo walipo tayari ni viongozi tena mahiri!
Acha kukaririshwa kijana...

Sumaye alisema hawana uzoefu, lakini elimu zao pia ni tatizo, Tz ina wasomi wa kutosha. Sijui kama uko Serious Sugu, Msigwa, Lema wawe mawaziri wako. Mbowe Mbona misikiti yote itageuzwa Club za Usiku
 
Mkuu inafahamika jinsi sheria inavyo bana vyama vya upinzani kuungana, sheria hizi zina ifeva ccm na hivyo haiko tayari kuzibadili. Naona mkono wa ccm kwa matukio kinzani ukawani. Kwakweli wana ukawa ni wa kupongezwa kwa hatua walio ifikia, wana fanya kazi ktk mazingira magumu na hila za CCM.
 
Sumaye alisema hawana uzoefu, lakini elimu zao pia ni tatizo, Tz ina wasomi wa kutosha. Sijui kama uko Serious Sugu, Msigwa, Lema wawe mawaziri wako. Mbowe Mbona misikiti yote itageuzwa Club za Usiku

Hao wasomi wako wamesaidia nini for the past 54 years?
Wasomi style ya akina Kapuya, Kawambwa, Tibaijuka and the likes?
Hao uliowataja ni viongozi tena wanajitosheleza kabisa...na kama wakihitaji technical advice, wapo wasomi wanaojielewa kama akina Prof Baregu watasaidia kama wanavyosaidia sasa.
 
Kila siku ukawa ukawa .... Nyie bhaaaaaanaaaa, wahenga walinena mti wenye matunda hauchokwi kupigwa mawe.... Acheni hizo jameni ummezidi ucomedi
 

Nani anayefaa kuwa waziri? Mulugo au mzee wa Kuwait?
 

Mzee mwenzangu kweli huu ni Muungano wa kuushabikia kweli. Sijawahi kuona mfano kama huu popote. Wenga ne nikita nini inu? Ne nijovajova namuyako.
 
Last edited by a moderator:
Kwa bandiko hili MMM amejitangaza rasmi kuwa adui wa mabadiliko. Kumbe zile ngoja ngoja, subiri subiri na kauli zinazofanana na hizo zilikuwa ni ishara ya kutumikia kusudi lililo kinyume na shauku ya watu kupata mabadiliko
 
Teh Teh mkuu hamja onana na Slaa huko? wape i...
 
Mwanakijiji toka amepata ajira gazeti la UHURU na MZALENDO haeleweki anachokiandika... Roho inamuuma baada ya kuona EHM mwenzie amekosa Urais na sasa Mfumo mzima unang'olewa ... Billion 150 walizotenga CCM za kudhoofisha Upinzani zinayeyuka bila matokeo chanya...Mama na team yake wamevuta Mpunga bila kuathiri ari na kasi za MALOFA kuleta mabadiliko ya kweli Tanzania ...
 
Lowassa is a better man for a better Tanzania!
 
baada ya mipango ya kitengo ya dk na prof kushindwa ..mpango umebadilika badala kushutumu na kutoka nje...sasa mpango shambulieni mkiwa ndani ...tengeneza mgogoro wa ndani...mdhoofishie Mbatia ana kiherehere sana......ila naamini mpango huo nao utafail.........
 
Mwanakijiji na wenzake,walichokitaka ni kuwa vyama hivi vinabakia kuwa pressure group.lakini walipostuka wakakuta tayari Gia ishabadilishwa angani.wanachotakiwa kwa sasa ni kusubiri maumivu ya okt.25.kama ni karamu tayari imeshaliwa.
 
Sumaye alisema hawana uzoefu, lakini elimu zao pia ni tatizo, Tz ina wasomi wa kutosha. Sijui kama uko Serious Sugu, Msigwa, Lema wawe mawaziri wako. Mbowe Mbona misikiti yote itageuzwa Club za Usiku

udini usio na sababu ..kwa nini misikiti na wala si makanisa ....tumeshakuwa na mawaziri maprof na hawajafanya jipya....kuna mambo ya kawaida sana yametamalaki nchi kuyatatua uhitaji uwe na elimu kubwa
 
Huyo mzee hana jipya. Yeye anakula kiyoyozi sisi tunakula vumbi halafu analeta mdomo na insha zake muflisi kabisa.

Hawa watu waliokuwa wanajiita wapinzani baada ya kuona kweli upinzani unachukua nchi wameanza kugeuka. Hawa walikuwa puppet leaders
 
Yaani katika watu niliokuwa nawaona ni jembe humu ndani ni ww MMM ila kwa uzi huu umeharibu kila kitu, ILA ELEWA HATA MMSEMEJE VP SAHIZI NI MWAKA WA MABADILIKO NA MABADILIKO NI SASA hatukupangiwa kutawaliwa na CCM maisha ni muda muafaka sasa nayenyewe ipumzike iwapishe wengine nao watawale hiyo ni demokrasia ya kweli.
 
Sumaye alisema hawana uzoefu, lakini elimu zao pia ni tatizo, Tz ina wasomi wa kutosha. Sijui kama uko Serious Sugu, Msigwa, Lema wawe mawaziri wako. Mbowe Mbona misikiti yote itageuzwa Club za Usiku

Mkuu umeua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…