tofyo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 2,750
- 757
Salaam wana jf.
Kama kuna ulaghai basi ni huu wa ukawa.sijaona mabadiliko yoyote yanayotarajiwa kupitia huu muungano.
Kwanza vyama vitatu Chadema,Cuf na Nccr vyote viliwahi kushika nafasi ya pili katika chaguzi kuu hapa nchini.
Shida au tatizo ni kwamba hakuna hata mmoja alieweza kung'ang'ania nafasi ya pili kwa kuonyesha ushindani na JEMBE.
Lakini katika hivyo vyama vyote chama ambacho siwezi kukihesabia kwenye upinzani halisi ni CHADEMA.kwasababu ilipata nguvu kwa upepo wa msimu.
Kuhusu chadema nimeshawaambia nina maswali Elfu Moja Na Moja (1001).Lakini swali jepesi kuliko yote ni "je ni lini chama kimekua imara?"
Kwaujumla UKAWA ni kama nyumba iliosimama juu ya mchanga na kama ni gari, basi limepakwa rangi mpya lakini gari ni lilelile ya zamani.
SIO LAZIMA TUKUBALIANE KWA KILA KITU NA SI LAZIMA TUPINGANE KWA KILA KITU.
Naomba kuwasilisha.
Kama kuna ulaghai basi ni huu wa ukawa.sijaona mabadiliko yoyote yanayotarajiwa kupitia huu muungano.
Kwanza vyama vitatu Chadema,Cuf na Nccr vyote viliwahi kushika nafasi ya pili katika chaguzi kuu hapa nchini.
Shida au tatizo ni kwamba hakuna hata mmoja alieweza kung'ang'ania nafasi ya pili kwa kuonyesha ushindani na JEMBE.
Lakini katika hivyo vyama vyote chama ambacho siwezi kukihesabia kwenye upinzani halisi ni CHADEMA.kwasababu ilipata nguvu kwa upepo wa msimu.
Kuhusu chadema nimeshawaambia nina maswali Elfu Moja Na Moja (1001).Lakini swali jepesi kuliko yote ni "je ni lini chama kimekua imara?"
Kwaujumla UKAWA ni kama nyumba iliosimama juu ya mchanga na kama ni gari, basi limepakwa rangi mpya lakini gari ni lilelile ya zamani.
SIO LAZIMA TUKUBALIANE KWA KILA KITU NA SI LAZIMA TUPINGANE KWA KILA KITU.
Naomba kuwasilisha.