Wajinga wamejikusanya wakaunda genge la wehu
Unamaana magenge ya wahuni yanaanzia bungeni? Nijuze tafadhali!!ukawa ni genge la wahuni
Yupo hata wa mabox? Afadhali shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua!labda sitta wa mabox
Hahaha ukawa sio kitoto
Na kuna fununu sitta kaenda kupiga magoti znz
Acha hizo hakuna anawaunga bila kuangalia je manufaa yao ni kwa taifa au maslahi binafsi
teh teh,mkuu katiba haipatikani kwa kutukana wengine,kwa kukejeli wengine, kwa kuendekeza ubaguzi, chuki na mipasho. Dodoma haiwezi kutupa katiba mpya kamwe, chini ya hawa mainterahamwe! Wanalipwa posho ya bure tu!We huoni mtu katumwa alete katiba anatoka manayake nini?
Hilo ni genge la wasaka tongeUkawa ndo tegemeo la watanzania walio wengi na wanaojitambua!
Ukiwa umebeba kichwa kama zigo tuu lazima u comment hivyoUKAWA inatakiwa iingizwe kwenye katiba kama TUNU ya Taifa