Ukawa ni Moto Mkali

Ukawa ni Moto Mkali

Sangarara

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
13,104
Reaction score
5,665
Leo katika pitapita zangu,nimekutana na vijana wawili,watanashati wanasifia UKAWA.Hawa vijana walikuwa karibu na kituo cha bodaboda KLC ,Singida mjini.
Kilichonishangaza ni pale walipo anza kuimba wimbo wa kuusifia UKAWA ule wimbo maarufu wa CHADEMA (UKAWA)CHADEMA(UKAWA) CHADEMA(UKAWA) PEOPLES POWER.(KATIBA YETU)
Katika kuimba wale madereva bodaboda waliwaunga mkono na kuimba pamoja na kushangilia kwa nguvu
 
Leo katika pitapita zangu,nimekutana na vijana wawili,watanashati wanasifia UKAWA.Hawa vijana walikuwa karibu na kituo cha bodaboda KLC ,Singida mjini.
Kilichonishangaza ni pale walipo anza kuimba wimbo wa kuusifia UKAWA ule wimbo maarufu wa CHADEMA (UKAWA)CHADEMA(UKAWA) CHADEMA(UKAWA) PEOPLES POWER.(KATIBA YETU)
Katika kuimba wale madereva bodaboda waliwaunga mkono na kuimba pamoja na kushangilia kwa nguvu

Waimbe tu. Mtoe na single na clips nyingi. Mambo yote kwenye boksi la kupigia kura.
 
Ukawa si ndio hawa wavuta bangi na wanywa gongo wanaotukana waasisi wa taifa hili?
 
Leo katika pitapita zangu,nimekutana na vijana wawili,watanashati wanasifia UKAWA.Hawa vijana walikuwa karibu na kituo cha bodaboda KLC ,Singida mjini.
Kilichonishangaza ni pale walipo anza kuimba wimbo wa kuusifia UKAWA ule wimbo maarufu wa CHADEMA (UKAWA)CHADEMA(UKAWA) CHADEMA(UKAWA) PEOPLES POWER.(KATIBA YETU)
Katika kuimba wale madereva bodaboda waliwaunga mkono na kuimba pamoja na kushangilia kwa nguvu

Haya tumekusikia, kakojoe ukalale.
 
Wkt tunajadili hili suala tusiwe bias sana nafikiri hapa pande zote zinahoja za msingi kikubwa ni kukaa na kuafikiana kuwa tufanye nini ili nchi iende mbele!Ukowa bias ofcourse wala hautaona tatizo liko wapi au hoja ya msingi imelala upande gani lazima tujiweke kati ili tuwe na right direction not immotionaly motivated!!!!
 
Ukishi kwa kupuuza utapata upuuzi bali ni vyema kuamini uongo kuliko ukweli kupuuzwa
Soma alama za nyakati mimi baba ccm mama ccm ndg wote maccm lakini naona ukweli ulipo

wewe umevurugwa na ukawa wako misukule
 
Wkt tunajadili hili suala tusiwe bias sana nafikiri hapa pande zote zinahoja za msingi kikubwa ni kukaa na kuafikiana kuwa tufanye nini ili nchi iende mbele!Ukowa bias ofcourse wala hautaona tatizo liko wapi au hoja ya msingi imelala upande gani lazima tujiweke kati ili tuwe na right direction not immotionaly motivated!!!!

kama kuna hoja vile
 
Kwa mtindo wa kudharau watu wa hali ya chini kuwa ni wavuta bangi,wahuni ccm itajimaliza yenyewe.
Wakija kujua wamevuta bangi kwa sababu serikali yao haiwaongozi vema na kuwapatia fursa za ajira,hakika wataitumia bangia hiyohiyo mnayowasutia kuwashikisha adabu!
 
Ukawa watetezi wa rasimu ya Wananchi ni wawakilishi wetu kinyume chake ni wale Interahamwe wanaotetea unga wa watoto wao
 
Ukawa si ndio hawa wavuta bangi na wanywa gongo wanaotukana waasisi wa taifa hili?

Kumbe wanavuta bangi nani kawauzia bangi hawa? Wakamatwe washitakiwe mara moja na wasipokamatwa najua wewe ni muongo hawavuti bangi.

Kumbe wamewatukana waasisi wa taifa letu? Aisey!! Ebu waambie watanzania matusi waliyowatukana waasisi wetu wayajue ili sheria ichukue mkondo wake maana tusi ni kosa la kisheria.kama hutasema hayo matusi tutajua wewe ni muongo.
 
Back
Top Bottom