Ukawa na dhana za kijinga

Tunko

Senior Member
Dec 24, 2013
181
41
Hawa CDM /UKAWA bado dhana Yao wanayoitumia bado siielewi kabisa kwa sababu ukifuatilia kwa makini mikutano Yao utasikia Mara NGUVU YA UMMA, TUKO NA MUNGU sasa mimi nabaki najiuliza inamaana wao ndio wenye Mungu CCM hawana na je wao ndio wenye watu CCM hawana , mimi kwangu naona ni kama dhana mfu kwa sababu mtu huwezi kutamka tu kuwa tutawatoa madarakani kwa nguvu ya umma utafikiri wao CCM hawana watu na ukweli uliopo UKAWA watasubili sana kuitoa CCM madarakani,CCM bado ni Chama bora kabisa chenye sera bora na bado kitazidi kuongoza miaka nenda rudi hivyo UKAWA endeleeni kuota na Nguvu yenu ya Umma
 
Ukawa wajinga sana ujue wanadhani watanzania bado wale wa kipindi kile ambao unaweza kuwadanganya kama unavyodhani kwa ujinga huu ukawa tumewazika hatudanganyiki kamwe.
 
Mada za walohitimu kwa majanga ya mulugo na kawambwa nitatizo kwa Taifa hili.

Ni aibu sana kwetu watanzania kuonekana na uwezo duni wa ufikiri, yote haya nimatokeo ya CCM-50yrs in power citizen's

level of education, intellectual and awareness decreasing exponentially.
 
Hawa CDM /UKAWA bado dhana Yao wanayoitumia bado siielewi kabisa kwa sababu ukifuatilia kwa makini mikutano Yao utasikia Mara NGUVU YA UMMA, TUKO NA MUNGU sasa mimi nabaki najiuliza inamaana wao ndio wenye Mungu CCM hawana na je wao ndio wenye watu CCM hawana , mimi kwangu naona ni kama dhana mfu kwa sababu mtu huwezi kutamka tu kuwa tutawatoa madarakani kwa nguvu ya umma utafikiri wao CCM hawana watu na ukweli uliopo UKAWA watasubili sana kuitoa CCM madarakani,CCM bado ni Chama bora kabisa chenye sera bora na bado kitazidi kuongoza miaka nenda rudi hivyo UKAWA endeleeni kuota na Nguvu yenu ya Umma

mkuu hapo nilipopigia mistaari hebu elezea sera bora nni zipi, utoe mlinganisho wa sera hiyo na sera za upinzani ( compare and contreast). Kisha elezea ni kwa jinsi gani sera hiyo imetekelezwa na kuleta matokeo tarajiwa.

Compare and contrast sera za wapinzania VS CCM on privatization, Public loan management, Tax collection, Health care system, Education system) na utoneshe ni kwa jnsi gani CCM wako Bora. Mimi nitajiunga CCM kama utanielewesha nijaridhika. Ama ikitokea watu kumi watakaosoma majibu yako na kuridhika nayo (first ten comments) mimi nitaanza kuigia CCM compaign.
 
Mada za walohitimu kwa majanga ya mulugo na kawambwa nitatizo kwa Taifa hili.

Ni aibu sana kwetu watanzania kuonekana na uwezo duni wa ufikiri, yote haya nimatokeo ya CCM-50yrs in power citizen's

level of education, intellectual and awareness decreasing exponentially.
Eti hivi mwenyekiti wa CDM form six alipita division ngapi
 
Ukawa wajinga sana ujue wanadhani watanzania bado wale wa kipindi kile ambao unaweza kuwadanganya kama unavyodhani kwa ujinga huu ukawa tumewazika hatudanganyiki kamwe.
sawa ndugu yangu huenda na wewe ukapewa 1.6bn kama mama Tibaijuka,ukiugua ukapelekwa india,ukauziwa umeme na tanesco wa sh 10000 ukapata units zaidi ya 8,mtoto wako akafika form 4 hajui kusoma wala kuandika huku alifaulu primary kuingia sekondari ya kata,maji hata kijijini kwa wazazi wako sii tatizo maana wanaokunywa wao na ng'ombe pia wanakunywa hapo hapo.Ajira za kuokota chupa na boda boda zipo tele kwa ndugu zako
 
Eti hivi mwenyekiti wa CDM form six alipita division ngapi


Unaelewa maana ya haya maneno matatu

1. Level of education

2. Intellectual

3. Awareness

Ndo maana nimesema product za mulugo na kawambwa zinamatatizo makubwa maana kati ya darasa la saba na form v au vi

tofauti kwa miaka ya karibuni haipo. Tatizo ni CCM kupumbaza nakupumbaza vilaza matokeo yake maada za kipuuuzi kama uzi huu.
 
Uliza degree ya uchumi na uprofesa wa kichina wa mwenyekiti wa ccm umesaidia nini tanzania

1.Bandari mpya ya bagamoyo. 2.Daraja jipya Dar to Zanzibar 3.mradi wa gesi. 4.kila mtanzania kupata simu Mhh niambie na wwe mwenzangu dvn (0) ya Mbowe imeisaidia nini CDM
 
Unaelewa maana ya haya maneno matatu

1. Level of education

2. Intellectual

3. Awareness

Ndo maana nimesema product za mulugo na kawambwa zinamatatizo makubwa maana kati ya darasa la saba na form v au vi

tofauti kwa miaka ya karibuni haipo. Tatizo ni CCM kupumbaza nakupumbaza vilaza matokeo yake maada za kipuuuzi kama uzi huu.

Nijibu kwanza mbona unaongeza maswali mengine
 
1.Bandari mpya ya bagamoyo. 2.Daraja jipya Dar to Zanzibar 3.mradi wa gesi. 4.kila mtanzania kupata simu Mhh niambie na wwe mwenzangu dvn (0) ya Mbowe imeisaidia nini CDM


1. Kikwete nawafahamu wauza dawa za kulevya - mpaka leo ziiiiiiiiii

2. Kikwete nawafahamu majangili nakiongozi wao yupo Arusha - Mpaka leo Ziiiiii

3. Kikwete waliokwapuwa EpA warudishe nimewasamehe - wezi wa kuku, karanga na chupi wanaozea magerezani

4. Kikwete sifaham kwanini Tanzania bado masikini

5. Kikwete Maisha bora kwa kila mtanzania - ndo kwanza Afya, elimu nk imekuwa majanga (Mfano muhimbili ni Gofu lakufia masiki kwasasa)

Huyu nimbumbumbu wa madaraka.
 
Hawa CDM /UKAWA bado dhana Yao wanayoitumia bado siielewi kabisa kwa sababu ukifuatilia kwa makini mikutano Yao utasikia Mara NGUVU YA UMMA, TUKO NA MUNGU sasa mimi nabaki najiuliza inamaana wao ndio wenye Mungu CCM hawana na je wao ndio wenye watu CCM hawana , mimi kwangu naona ni kama dhana mfu kwa sababu mtu huwezi kutamka tu kuwa tutawatoa madarakani kwa nguvu ya umma utafikiri wao CCM hawana watu na ukweli uliopo UKAWA watasubili sana kuitoa CCM madarakani,CCM bado ni Chama bora kabisa chenye sera bora na bado kitazidi kuongoza miaka nenda rudi hivyo UKAWA endeleeni kuota na Nguvu yenu ya Umma


Hapo kwenye red sikubaliani na wewe kwa 100% labda kama unaweza kudadavua umeupimaje huo ubora.(vigezo)

Lakini nasikitika kuandika kwamba kwa aina ya wapinzani tulionao nchi hii,CCM bado kina miongo kadhaa kikiwa chama tawala.

Na kama CCM kingekuwa na watu wenye mikakati madhubuti,tayari kusingekuwepo hata hao tunao waona leo majukwaani.

Wapinzani wote nchi hii wachumia tumbo sema wanatofautiana bei tu.
 
Nijibu kwanza mbona unaongeza maswali mengine


Sasa kama huelewi maana ya Intellectual na awareness unataka jibugani zaidi? huhitaji degree wala chochote kikubwa kuwa intellectual, sasa hivi wapuuzi kibao wamejaa wengine wanapewa uprofesa hata kwanini nchi wanazoongoza nimasikin hawajuwi.

Better be intellecture and aware than kuwa Dr wa uwongo mara profesa ni upumbafu mkubwa na ujinga kukubali madaraja

ya elimu usokuwa na haiba weledi wala uwezo nayo.
 
1.Bandari mpya ya bagamoyo. 2.Daraja jipya Dar to Zanzibar 3.mradi wa gesi. 4.kila mtanzania kupata simu Mhh niambie na wwe mwenzangu dvn (0) ya Mbowe imeisaidia nini CDM
umesahau kigoma kuwa kama dubai,tanga kama china
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni afadhali ya Mjinga kuliko MPUMBAVU. Shida ya watawala wanailaumu kwa kukusanya na kuratibu Maoni ya Wananchi I wish wangejua kuwa maoni yaliyomo kwenye Rasimu ya Katiba chini ya Jaji Joseph Sinde Waryoba si yao Binafsi bali ya Wananchi. Haiwezekani bado watawala waendelee kuishi kwenye mawazo ya kale na ya historia. Ebu waangalie wajumbe wa TUME na wasifu wa kila mmoja wao, ebu wawaangalie kama yupo mmoja anayetajwa kwa tabia za kifisadi, rushwa na aina yoyote ya dhuluma.

Ni kichekesho kuwalinganisha watu kama Mzee Waryoba na baadhi ya wakuu wa Bunge Maalum la Katiba, ebu fuatilia historia ya Mwenyekiti mwenyewe, na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandishi to mention a few. Pole sana kwa kuona juhudi za UKAWA kama za Kijinga lakini heri ya Mjinga kuliko Mpumbavu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hawa CDM /UKAWA bado dhana Yao wanayoitumia bado siielewi kabisa kwa sababu ukifuatilia kwa makini mikutano Yao utasikia Mara NGUVU YA UMMA, TUKO NA MUNGU sasa mimi nabaki najiuliza inamaana wao ndio wenye Mungu CCM hawana na je wao ndio wenye watu CCM hawana , mimi kwangu naona ni kama dhana mfu kwa sababu mtu huwezi kutamka tu kuwa tutawatoa madarakani kwa nguvu ya umma utafikiri wao CCM hawana watu na ukweli uliopo UKAWA watasubili sana kuitoa CCM madarakani,CCM bado ni Chama bora kabisa chenye sera bora na bado kitazidi kuongoza miaka nenda rudi hivyo UKAWA endeleeni kuota na Nguvu yenu ya Umma



Ficha upunguani wako mjing,,a mwehu wewe! Mi nikajua umeandika cha maana kumbe kilaza tu!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom