Ukawa mwanza

Ukawa mwanza

karekwachuza

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2013
Posts
999
Reaction score
335
Hivi ndivyo ilivyokuwa mwanza,wakati kamanda mawazo alipokuwa mgeni rasmi hapa jijini mwanza,kweli mkuano ulifana sana,big up makamanda wa ukawa
 

Attachments

  • IMG-20140518-00224.jpg
    IMG-20140518-00224.jpg
    51.3 KB · Views: 333
  • IMG-20140518-00227.jpg
    IMG-20140518-00227.jpg
    33.2 KB · Views: 312
Hivi ndivyo ilivyokuwa mwanza,wakati kamanda mawazo alipokuwa mgeni rasmi hapa jijini mwanza,kweli mkuano ulifana sana,big up makamanda wa ukawa
Mkuu jaribu kulinganisha watu wa ukawa na hawa wa kinana halafu ujipe alama wewe mwenyewe kabla sijakupa alama zangu.
 
Kwa upande mwingine vijana wengi tunaamini katika muundo wa seriakli mbili siyo hizo tatu za ukawa ni mbili tu kama ummy mwalimu anavyokuonesha kweny hii picha alipokuwa zanzibar.
 
Kwa upande mwingine vijana wengi tunaamini katika muundo wa seriakli mbili siyo hizo tatu za ukawa ni mbili tu kama ummy mwalimu anavyokuonesha kweny hii picha alipokuwa zanzibar.

Nyinyi vijana wa maskani za ccm munatumiliwa kwa buku 7 wakati akina ummi mwalim yk yanamuendea sawia.,

Halafu huyu dada ummi mwalim nimemfuatilia sn maneno yk hajawahi kupangua hoja hata 1 ya ukawa zaidi ya matusi na mipasho kama mdomo wk ulivyo., ni chakula cha mabosi tu haonekan kuwa na elimu ata ya form one.,
 
Back
Top Bottom