UKAWA mtanyooka tu....!

UKAWA mtanyooka tu....!

Mnaotaka kuwazuia Bavicha kuja Dodoma kupigwa mnakosea sana. Hii ni biashara kama ilivyo biashara nyingine. Tayari waratibu wapiga dili wameahidiwa Sh 200milioni kutekeleza uhuni huo. Hii ni njia ya kutumbua ruzuku na "ruzuku". Waacheni watumbue ruzuku yao badala ya kujenga ofisi. Akili ya kupewa na Mbowe changanya na yako. Mleta Uzi nimekuona hapa Dodoma Hotel, waache vijana waje Dom kujiuza kutafuta hela za kujikimu na majeraha!
 
Biashara Matangazo!!
Mtoa mada we u mjanja sana,ila waziri mkubwa ameshapiga marufuku.
Just joking...hah..hah..haaah
 
Utasoma magazeti ya kutupiwa na wenye ofisi hadi urudi kwenu mwandiga mikono mitupu
Tatizo lako unakalilishwa sana
Mie sio kitoto kama wewe
Uaipende kufananisha vitu kijana
 
Tulia akson tu mwenyewe kawatoa manundu kibao wakiwepo na uvccm si ndiyo mtalowa kila sehemu nyie.
Tulia mwenyewe anategemea policcm.mbunge mmoja tu wa UKAWA anahitaji Polisi 30 kumtoa nje.hukumbuki SUGU alivyowatoa jasho policcm zaidi ya 30 ndani ya bunge?
 
Bora yeye dereva anajituma kuliko ww unasubir pale ufipa wakupe kiroba then wakuamrishe uende kwenye maandamano ,kazi utaki kufanya
Mtabaki hivyohivyo njoo uone tunavyo fanya no msaada.kama nyie likiwepo bunge mnahamia dom,kuombaomba na bado.
 
By Peter Dafi
Mtetezi wa Wanyonge.
Mkuu, mtetezi wa wanyonge wepi?, maana hata hao unaowaona kama mfuu nako pia kuna wanyonge.

We are being targeted while they are sitting safe and sound in their palaces.
 
Wazazi wako wana hasara! Kaza mwendo cheo kiko karibu
 
Duuh jamaa amechukua nafasi Jukwaa la wazelendo ha ha ha
 
Ni Hivi majuzi tumewasikia vijana wa BAVICHA wakitangaza eti watakwenda Dodoma kuzuia Mkutano Mkuu wa CCM na kwa hakika niliwaonea huruma.

Lakini Imekuwa Kila Siku wanaibuka Kila Mkoa nakuropoka tu kuwa Wataenda Kukwamisha Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma.

Nashangaaa....!

Hivi ndio kusema ubunifu wa vijana wa UKAWA umefikia mwisho kabisa hapa nchini Tanzania?

Kweli vijana ambao walikuwa wakijipambanua kuwa wao ni mahiri na wazungumza hoja kumbe hizi ndio Hoja za kuzuia Mkutano wa Ndani wa CCM?

Kijana Sosopi, Patrobas nawengineo mmefilisika kwa Mwendo kasi mpaka leo mmefikia hatua hii! Hizi ndo siasa za sasa kweli naanza kuamini maneno ya Prof Kitila Mkumbo aliposema "Upinzania Tanzania utajimaliza wenyewe kwa kutegemea udhaifu wa serikali"

Wako wapi vijana wa Chadema waliokuwa na hoja za kufikirisha hadi sasa zinaibuka hoja za kufilisika?

Nimeandika haya leo, kimsingi ni kuwatakia kila la kheri katika azma yao hiyo!
Lakini kwa kuwa vijana hawa wanasema kisha ndipo wanafikiri, basi wakiwa wanaelekea Dodoma kukipata wanachokitaka, nawakumbusha tu haya;

1.Kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa mikutano ya ndani ya vyama haiingiliwi hata na polisi na ndio maana hata mikutano ya viongozi wa juu wa Ukawa wenyewe wanaokutana mara kwa mara haijaingiliwa na chombo chochote;

2.Hakuna zuio la mikutano ya ndani katika nchi hii ndio maana kule Dodoma kila siku wabunge wa Ukawa walikuwa ama wakikutana katika mikutano yao ya kimkakati au waliachwa wajinafasi kwa kufanya mikutano na vyombo vya habari kila walipotaka na kuropoka walivyotaka;

Nilidhani vijana hawa wangetumia akili na nguvu walizopewa walau kwenda kusaidia shughuli za maendeleo japo katika majimbo ya Ukawa kama vile kusaidia utengenezaji wa madawati,kusaidia ujenzi wa miradi ya maji,kwenda kukaa na kuwafundisha ujasiriamali vijana wasio na elimu n.k lakini kumbe sivyo.

Kwa kuwa akili zao zimeshikwa mahali na wakilala,wakiamka wanawaza siasa tu, nawakaribisha sana Dodoma maana mimi nitashiriki katika majukumu yangu ya kikazi na watakipata tena kiurahisi sana wanachokitaka.

Lazima tuweze kutofautisha Siasa na Matamko ya kisiasa.

Nawakumbusha tu kuwa 65% ya washiriki wa Mkutano mkuu wa CCM ni Vijana.
Ivo Tunawakaribisha na tutawapatia Dawa Stahiki Nakuwatimizia Hitaji lenu kisawasawa kulingana na Uhitaji wenu.

Kumbukeni tu! CCM Tumejipanga, na CCM ni Ile Ile ya Mbelee kwa Mbeleee..

Hapa Kazi Tu!

By Peter Dafi
Mtetezi wa Wanyonge.
Kijana kwanza pole kwa kudhan upinzan upo kwa hisan ya rais . upinzan upo kwa mujibu Wa katiba na sheria. Unamtumia prof KITILA MKUMBO ili uonekane kama uko sahihi sana ktk post yako kumbe hovyo ,JIULUZE kwa nini leo ACT WAZENDO inazidi kupotea na kupotelewa na viongozi wake wakiwemo katibu Mkuu mwigamba na m/kiti ANNA MGHWIRA aliyetangaza kuachana na siasa ili ahubiri injili !!!! Na kuhakikishia CHADEMA iko imara zaidi ya utawala Wa awamu ya tano ,ndio maana serikali inaiogopa CHADEMA kuliko ujambazi ambao unafanyika mchana kweupe . Usijipime na Chadema hii ni taasisi kubwa .
 
Ni Hivi majuzi tumewasikia vijana wa BAVICHA wakitangaza eti watakwenda Dodoma kuzuia Mkutano Mkuu wa CCM na kwa hakika niliwaonea huruma.

Lakini Imekuwa Kila Siku wanaibuka Kila Mkoa nakuropoka tu kuwa Wataenda Kukwamisha Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma.

Nashangaaa....!

Hivi ndio kusema ubunifu wa vijana wa UKAWA umefikia mwisho kabisa hapa nchini Tanzania?

Kweli vijana ambao walikuwa wakijipambanua kuwa wao ni mahiri na wazungumza hoja kumbe hizi ndio Hoja za kuzuia Mkutano wa Ndani wa CCM?

Kijana Sosopi, Patrobas nawengineo mmefilisika kwa Mwendo kasi mpaka leo mmefikia hatua hii! Hizi ndo siasa za sasa kweli naanza kuamini maneno ya Prof Kitila Mkumbo aliposema "Upinzania Tanzania utajimaliza wenyewe kwa kutegemea udhaifu wa serikali"

Wako wapi vijana wa Chadema waliokuwa na hoja za kufikirisha hadi sasa zinaibuka hoja za kufilisika?

Nimeandika haya leo, kimsingi ni kuwatakia kila la kheri katika azma yao hiyo!
Lakini kwa kuwa vijana hawa wanasema kisha ndipo wanafikiri, basi wakiwa wanaelekea Dodoma kukipata wanachokitaka, nawakumbusha tu haya;

1.Kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa mikutano ya ndani ya vyama haiingiliwi hata na polisi na ndio maana hata mikutano ya viongozi wa juu wa Ukawa wenyewe wanaokutana mara kwa mara haijaingiliwa na chombo chochote;

2.Hakuna zuio la mikutano ya ndani katika nchi hii ndio maana kule Dodoma kila siku wabunge wa Ukawa walikuwa ama wakikutana katika mikutano yao ya kimkakati au waliachwa wajinafasi kwa kufanya mikutano na vyombo vya habari kila walipotaka na kuropoka walivyotaka;

Nilidhani vijana hawa wangetumia akili na nguvu walizopewa walau kwenda kusaidia shughuli za maendeleo japo katika majimbo ya Ukawa kama vile kusaidia utengenezaji wa madawati,kusaidia ujenzi wa miradi ya maji,kwenda kukaa na kuwafundisha ujasiriamali vijana wasio na elimu n.k lakini kumbe sivyo.

Kwa kuwa akili zao zimeshikwa mahali na wakilala,wakiamka wanawaza siasa tu, nawakaribisha sana Dodoma maana mimi nitashiriki katika majukumu yangu ya kikazi na watakipata tena kiurahisi sana wanachokitaka.

Lazima tuweze kutofautisha Siasa na Matamko ya kisiasa.

Nawakumbusha tu kuwa 65% ya washiriki wa Mkutano mkuu wa CCM ni Vijana.
Ivo Tunawakaribisha na tutawapatia Dawa Stahiki Nakuwatimizia Hitaji lenu kisawasawa kulingana na Uhitaji wenu.

Kumbukeni tu! CCM Tumejipanga, na CCM ni Ile Ile ya Mbelee kwa Mbeleee..

Hapa Kazi Tu!

By Peter Dafi
Mtetezi wa Wanyonge.
Makonda njoo huku,nimemkamata mmoja
 
Nadhani kama kunyooka nyie ndio mnanyooka haswaa, na mnaisoma namba vilivyo si UKAWA mlilelewa vibaya, UKAWA kazi yao ni moja tu nayo ni kuupinga UBWANYENYE wenu.
 
Hizi teuzi zinatuharibia kabisa vijana....Ama hakika hata kama Mwalimu Nyerere alikuwa na mfumo wa chama kimoja,lkn aliwaandaa vijana wake kuwa viongozi.Chuo cha Kivukoni kwa ajili ya Sera na Propaganda walau kilisaidia kuwaandaa UVCCM kuwa viongozi wa baadae

Kina JK,Lowassa,Jaka Mwambi,Mapuri na wengine ni matokeo ya sera ya "Academic Succession Plan"
Sasa hawa vijana wapo mitandaoni wanasema kabisa Kuwa wataenda kumwaga damu Dodoma
Kwamba wanasema wapo kakazi zaidiView attachment 363515
Daah, mkuu umemtaja jamaa moja (Mapuri) hivi yupo wapi kwasasa, maana katika makada waliopotea masikoni na machoni pangu fasta yu mmoja wao. Mara ya Mwisho nilisika anaenda kua balozi Japan or China kama sikosei, ila mpaka leo sijawahi hata kujua alipotelea wapi?
 
Back
Top Bottom