IkuluKwetu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 535
- 394
Mnaotaka kuwazuia Bavicha kuja Dodoma kupigwa mnakosea sana. Hii ni biashara kama ilivyo biashara nyingine. Tayari waratibu wapiga dili wameahidiwa Sh 200milioni kutekeleza uhuni huo. Hii ni njia ya kutumbua ruzuku na "ruzuku". Waacheni watumbue ruzuku yao badala ya kujenga ofisi. Akili ya kupewa na Mbowe changanya na yako. Mleta Uzi nimekuona hapa Dodoma Hotel, waache vijana waje Dom kujiuza kutafuta hela za kujikimu na majeraha!