MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Hili la watu kung'ang'ania majimbo bila kufuata utaratibu wa makubaliano ya mgawanyo wa majimbo limewacost sana! Sasa Viongozi wa kitaifa UKAWA msikubali kumruhusu mtu achukue form ya kugombea kama hataki kufuata utaratibu, kama hataki mtoeni kwenye uanachama.
Hili pia limechangiwa sana na kuchelewesha kutoa mgawanyo wa majimbo, sasa ikiwezekana mgawanyo uwekwe mapema ikiwezekana hata mwaka mmoja kabla ili baadhi ya watu wasihangaike kujitengenezea mazingira mapema kwa kupoteza rasilimali zao.
Hili pia limechangiwa sana na kuchelewesha kutoa mgawanyo wa majimbo, sasa ikiwezekana mgawanyo uwekwe mapema ikiwezekana hata mwaka mmoja kabla ili baadhi ya watu wasihangaike kujitengenezea mazingira mapema kwa kupoteza rasilimali zao.