tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Kitendo cha Nape kubwabwaja kuhusu maadili ya Uchaguzi ni unafiki na udananda wa hali ya juu sana dhidi yake na CCM. Kauli yake ya Ushindi wa Goli la Mkono iliashiria wizi wa kura na ilivunja sheria, kanuni na taratibu za Uchaguzi huru na wa haki. Leo anatoa wapi Moral Authority ya kujifanya anajua sana Maadili ya Uchaguzi.
Tena CCM yake imekuwa ikivunja sheria kanuni na taratibu za kuzingatia muda kwenye kampeni za kumnadi Mgombea wao wa Urais. Leo anatoa wapi Moral Authority ya kujifanya anajua sana Maadili ya Uchaguzi.
UKAWA: Msijibishane na huyu bwana. Muacheni ajipitishe kwenye vyombo vya habari, kwani hajui alitendalo. Hayo anayoyahubiri (sitaki kuyasema) ndio sera yao CCM kila uchaguzi, kwa lengo la kutuvuruga wananchi tusifanye mabadiliko. sisi wananchi wapenda amani tulishayapuuza kitambo na hatuyaruhusu yatugawe.
JIKITENI KUMNADI MGOMBEA WENU WA URAIS, WAGOMBEA WA WABUNGE NA UDIWANI KWA RAIA WOTE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HUKU MKIZINGATIA SHERIA KANUNI NA TARATIBU ZA UCHAGUZI.
UKAWA KWETU AMANI UPENDO NA UMOJA NDIO ADHMA YETU.
Tena CCM yake imekuwa ikivunja sheria kanuni na taratibu za kuzingatia muda kwenye kampeni za kumnadi Mgombea wao wa Urais. Leo anatoa wapi Moral Authority ya kujifanya anajua sana Maadili ya Uchaguzi.
UKAWA: Msijibishane na huyu bwana. Muacheni ajipitishe kwenye vyombo vya habari, kwani hajui alitendalo. Hayo anayoyahubiri (sitaki kuyasema) ndio sera yao CCM kila uchaguzi, kwa lengo la kutuvuruga wananchi tusifanye mabadiliko. sisi wananchi wapenda amani tulishayapuuza kitambo na hatuyaruhusu yatugawe.
JIKITENI KUMNADI MGOMBEA WENU WA URAIS, WAGOMBEA WA WABUNGE NA UDIWANI KWA RAIA WOTE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HUKU MKIZINGATIA SHERIA KANUNI NA TARATIBU ZA UCHAGUZI.
UKAWA KWETU AMANI UPENDO NA UMOJA NDIO ADHMA YETU.