Ukawa mkuki msije utowa

Ukawa mkuki msije utowa

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,763
Onyo kwa UKAWA hapo mlipochoma basi msije mkajaribu Mkuki kuutoa ,Zenji twasema mtaimbo umewaganda akina Sita na kundile ,mpaka muhakikishe wamekata roho. CCM wabaya sana sana.
 
sasa nyie Wazanzibar si muwasaidie hao UKAWA na CHADEMA km kweli hamuutaki Muungano
Hapo mmeshaanza kujitenga wnaandamana watu wa Musoma
lakini Unguja na Pemba ni shwari
kweli sitakaa niwaamini tena wanaotaka kuuvunja Muungano hasa kutoka Visiwani
kwani Mbunge Mh Kessy wa Jimbo la Nkasi aliwananga Wabunge wote wakakubali Muungano unafaa na sababu kibao
 
Onyo kwa UKAWA hapo mlipochoma basi msije mkajaribu Mkuki kuutoa ,Zenji twasema mtaimbo umewaganda akina Sita na kundile ,mpaka muhakikishe wamekata roho. CCM wabaya sana sana.

Mwiba, chei cheii, kiswahili cha Zenji huwa kinanifurahisha sana. Huwa nakuja Zenji kufanya utalii wa utamaduni mojawapo ikiwa kujifunza lafudhi ya ki-zenji.

On a serious note mtaimbo maana yake nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom