Wakuu,
Zipo jitahada hivi sasa zinazondelea kupitia vyombo vya habari vya STARTV na CHANNEL 10, Vikialika WAPUUZI wanaojiita "Wachambuzi wa siasa", kwa lengo la kuchafua Wapinzani wa Uvundo wa Utawala wa CCM Nchini.
Naomba kuwakumbusha UKAWA,
"DONT UNDERESTIMATE THE POWER OF FOOLS IN THEIR MAJORITY"!
Hiki pia ni kipindi cha biashara kwa vyombo hivi vya habari. Vitafanya chochote kupata mavuno hata kama ni dhalimu!
Msisubiri Tume!
Chonde Chonde, Na ninyi anzisheni vipindi hivi, la sivyo "Mkicheka na nyani, Mtavuna mabua".
Zipo jitahada hivi sasa zinazondelea kupitia vyombo vya habari vya STARTV na CHANNEL 10, Vikialika WAPUUZI wanaojiita "Wachambuzi wa siasa", kwa lengo la kuchafua Wapinzani wa Uvundo wa Utawala wa CCM Nchini.
Naomba kuwakumbusha UKAWA,
"DONT UNDERESTIMATE THE POWER OF FOOLS IN THEIR MAJORITY"!
Hiki pia ni kipindi cha biashara kwa vyombo hivi vya habari. Vitafanya chochote kupata mavuno hata kama ni dhalimu!
Msisubiri Tume!
Chonde Chonde, Na ninyi anzisheni vipindi hivi, la sivyo "Mkicheka na nyani, Mtavuna mabua".