Ukawa mkakati wa ushindi huu hapa

Ukawa mkakati wa ushindi huu hapa

SOCIOLOGISTTZ

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
2,615
Reaction score
929
1. Utangulizi UKAWA ni Umoja wa Kutafuta Katiba ya Watanzania, ambayo imehasisiwa na vyama vya NCCR-Mageuzi, CUF na CHADEMA. Katika kuwepo kwake UKAWA imewafungua wananchi wengi macho kuhusu katiba iliyopo na mapungufu yake.Kujitoa kwa UKAWA kwenye bunge la katiba inaashiria kwamba katiba mpya haitaweza kupatikana kivyovyote vile. CCM na vibaraka wake wanaweza kuchakachua kanuni na kufanya uharamia wa kupindisha sheria ili katiba yao ipitishwe na bunge la katiba. Lakini hata wakifanya hivyo uzoefu unaonyesha kwamba hawataweza kupata theluthi mbili ya kura za maoni kwa wananchi wa Zanzibar hata kama watatumia jeshi kupora kura.

2. Ushirikiano ndani ya Bunge Ushirikiano ulioonyeshwa na Bunge la katiba unapaswa uendelezwe ndani ya bunge la Jamhuri ya Tanzania. Ili kufanikisha hayo mambo mawili makubwa inabidi yafanyike; · Mgawanyo wa mawaziri vivuli ufanyike upya ili kuruhusu vyama vya CUF na NCCR Mageuzi kuingia kwenye baraza kivuli. Ambalo linaweza kuwa hivi; Freeman Mbowe waziri mkuu kivuli na kiongozi wa upinzani bungeni, Habib Mnyaa – Naibu kiongozi wa Upinzani bungeni na waziri kivuli wa fedha, James Mabatia waziri kivuli wa Elimu nk. · Wapiganie kwa nguvu zote ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano sheria ya Tume ya Uchaguzi ifanyiwe marekebisho makubwa kwani haiko huru kabisa. Hata Mwenyekiti wa tume alishakiri kuwa tume yake haipo huru mbele Jaji Joseph Warioba.

3. Ushirikiano kwenye Uchaguzi.
Ili kuhakikisha ushindi wa kishindo kwa timu ya UKAWA inahitajika ushirikiano usiokuwa na chembe ya hila kwa manufaa ya UKAWA na wananchi kwa ujumla wake Ili kufikia malengo hayo napendekeza yafuatayo; (a) Nafasi ya Urais na Wabunge Zanzibar iyachiwe CUF (b) Nafasi ya Urais Bara (Tanganyika) iyachiwe CHADEMA. (c) Prof. Ibrahimu Lipumba agombee Ubunge Tabora mjini (d) Freeman Mbowe agombee Ubunge jimbo la Hai (e) James Mbatia agombee ubunge wa Vunjo (alishawahi kuwa mbunge 1995 – 2000). (f) Nafasi za ubunge zinazoshikiliwa na washirika zibaki kwa chama husika, mfano; Lindi mjini – CUF, Ubungo – Chadema, Kasulu – NCCR Mageuzi. (g) Viti vya ubunge vingine vilivyobaki vigawanywe kulingana na matokeo ya uchaguzi 2010 na chaguzi nyingine ndogo zilizofuatia. Mfano mahali ambapo Chama washirika kilikuwa cha pili kutoka CCM basi kiruhusiwe kusimamisha mgombea. (h) Nafasi za madiwani nazo zifanywe kama nafasi za ubunge.

4. Hitimisho Ushirika huu umeonyesha ukomavu wa kisiasa uliopitiliza kuanzia hoja, hotuba na ushahidi kutoka katika nyaraka mbalimbali. Kazi hii UKAWA walioifanya inastahili pongezi kwa wananchi wote wapenda demokrasia na amani ya nchi hii. Ni matuamini ya Watanzania kuwa hamtaishia hapo bali mtachukua hatua mbele zaidi ya hapo na ikionekana inafaa basi mapendekezo niliyoyatoa kama mwananchi wa kawaida yazingatiwe kwa umuhimu wake. Kama Coalition itaingizwa kwenya mabadiliko ya tume ya uchaguzi basi jina la UKAWA liwe ni coalition mojawapo kama coaliaton zilizopo Kenya za CORD na JUBILEE. Mungu Ibariki Tanganyika, Mungu ibarika Zanzibar, Mungu Ibariki UKAWA na wananchi wote.

----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Viongozi wa UKAWA ni wasikivu sana,
Jana kwenye mkutano wa UKAWA Pemba nilimsikia Freeman Mbowe akisema watashirikiana mpaka kwenye chaguzi mbalimbali. Big up sana UKAWA tupo pamoja na nyie.

Ma CCM yalikuwa yakisema Chadema ni chama cha wakristo na CUF ni chama cha waislamu, sasa wameungana na kuunda UKAWA. CCM wakiendelea kutumia hayo maneno watabaki na dini ya wahindu na wachache wasikuwa na dini kama Kingunge Ngombale Mwiru
 
You are right mkuu, ukawa lazma wajizatiti kuipgania katba mana ndio tumain pekee la watanzania, waungane kwa kila jambo naamin hawa maccm watapotezwa, wameshakubalika na wajpange vzr ktk mapambano! wakiungana hv mpk mwakan hakika magamba watakimbia
 
1. Utangulizi UKAWA ni Umoja wa Kutafuta Katiba ya Watanzania, ambayo imehasisiwa na NCCR-Mageuzi, CUF na CHADEMA. Katika kuwepo kwake UKAWA imewafungua wananchi wengi macho kuhusu katiba iliyopo na mapungufu yake.Kujitoa kwa UKAWA kwenye bunge la katiba inaashiria kwamba katiba mpya haitaweza kupatikana kivyovyote vile. CCM na vibaraka wake wanaweza kuchakachua kanuni na kufanya uharamia wa kupindisha sheria ili katiba yao ipitishwe na bunge la katiba. Lakini hata wakifanya hivyo uzoefu unaonyesha kwamba hawataweza kupata theluthi mbili ya kura za maoni kwa wananchi wa Zanzibar hata kama watatumia jeshi kupora kura.

2. Ushirikiano ndani ya Bunge Ushirikiano ulioonyeshwa na Bunge la katiba unapaswa uendelezwe ndani ya bunge la Jamhuri ya Tanzania. Ili kufanikisha hayo mambo mawili makubwa inabidi yafanyike; · Mgawanyo wa mawaziri vivuli ufanyike upya ili kuruhusu vyama vya CUF na NCCR Mageuzi kuingia kwenye baraza kivuli. Ambalo linaweza kuwa hivi; Freeman Mbowe waziri mkuu kivuli na kiongozi wa upinzani bungeni, Habib Mnyaa – Naibu kiongozi wa Upinzani bungeni na waziri kivuli wa fedha, James Mabatia waziri kivuli wa Elimu nk. · Wapiganie kwa nguvu zote ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano sheria ya Tume ya Uchaguzi ifanyiwe marekebisho makubwa kwani haiku huru. Hata Mwenyekiti wa tume alishakiri kuwa tume yake haipo huru mbele Jaji Joseph Warioba.

3. Ushirikiano kwenye Uchaguzi.
Ili kuhakikisha ushindi wa kishindo kwa timu ya UKAWA inahitajika ushirikiano usiokuwa na chembe ya hila kwa manufaa ya UKAWA na wananchi kwa ujumla wake Ili kufikia malengo hayo napendekeza yafuatayo; (a) Nafasi ya Urais na Wabunge Zanzibar iyachiwe CUF (b) Nafasi ya Urais Bara (Tanganyika) iyachiwe CHADEMA. (c) Prof. Ibrahimu Lipumba agombee Ubunge Tabora mjini (d) Freeman Mbowe agombee Ubunge jimbo la Hai (e) James Mbatia agombee ubunge wa Vunjo (alishawahi kuwa mbunge 1995 – 2000). (f) Nafasi za ubunge zinazoshikiliwa na washirika zibaki kwa chama husika, mfano; Lindi mjini – CUF, Ubungo – Chadema, Kasulu – NCCR Mageuzi. (g) Viti vya ubunge vingine vilivyobaki vigawanywe kulingana na matokeo ya uchaguzi 2010 na chaguzi nyingine ndogo zilizofuatia. Mfano mahali ambapo Chama washirika kilikuwa cha pili kutoka CCM basi kiruhusiwe kusimamisha mgombea. (h) Nafasi za madiwani nazo zifanywe kama nafasi za ubunge.

4. Hitimisho Ushirika huu umeonyesha ukomavu wa kisiasa uliopitiliza kuanzia hoja, hotuba na ushahidi kutoka katika nyaraka mbalimbali. Kazi hii UKAWA walioifanya inastahili pongezi kwa wananchi wote wapenda demokrasia na amani ya nchi hii. Ni matuamini ya watatnzania kuwa hamtaishia hapo bali mtachukua hatua mbele zaidi ya hapo na ikionekana inafaa basi mapendekezo niliyoyatoa kama mwananchi wa kawaida yazingatiwe kwa umuhimu wake. Kama Coalition itaingizwa kwenya mabadiliko ya tume ya uchaguzi basi jina la UKAWA liwe ni coalition mojawapo kama coaliaton zilizopo Kenya za CORD na JUBILEE. Mungu Ibariki Tanganyika, Mungu ibarika Zanzibar, Mungu Ibariki UKAWA na wananchi wote.
J

Mheshimwa Pr ibrahmu lipumba alishakwisha kulizungumza hili kuwa yy hana hadhi yakupigania ktk jimbo yy anataka kuipigia nchi ktk kuinua kiuchumi na cyo kulitetea jimbo.
Kwa hao wengne swadakta huko sahiih naunga mkono hoja.
 
J

Mheshimwa Pr ibrahmu lipumba alishakwisha kulizungumza hili kuwa yy hana hadhi yakupigania ktk jimbo yy anataka kuipigia nchi ktk kuinua kiuchumi na cyo kulitetea jimbo.
Kwa hao wengne swadakta huko sahiih naunga mkono hoja.
Lipumba hata kama atagombea nafasi ya mjumbe wa nyumba kumi hawezi kuchaguliwa
 
Piga ua, CHADEMA hawawezi kukubali kushirikiana na CUF nje ya suala la Katiba
 
You are right mkuu, ukawa lazma wajizatiti kuipgania katba mana ndio tumain pekee la watanzania, waungane kwa kila jambo naamin hawa maccm watapotezwa, wameshakubalika na wajpange vzr ktk mapambano! wakiungana hv mpk mwakan hakika magamba watakimbia
big up mkuu
 
1. Utangulizi UKAWA ni Umoja wa Kutafuta Katiba ya Watanzania, ambayo imehasisiwa na NCCR-Mageuzi, CUF na CHADEMA. Katika kuwepo kwake UKAWA imewafungua wananchi wengi macho kuhusu katiba iliyopo na mapungufu yake.Kujitoa kwa UKAWA kwenye bunge la katiba inaashiria kwamba katiba mpya haitaweza kupatikana kivyovyote vile. CCM na vibaraka wake wanaweza kuchakachua kanuni na kufanya uharamia wa kupindisha sheria ili katiba yao ipitishwe na bunge la katiba. Lakini hata wakifanya hivyo uzoefu unaonyesha kwamba hawataweza kupata theluthi mbili ya kura za maoni kwa wananchi wa Zanzibar hata kama watatumia jeshi kupora kura.

2. Ushirikiano ndani ya Bunge Ushirikiano ulioonyeshwa na Bunge la katiba unapaswa uendelezwe ndani ya bunge la Jamhuri ya Tanzania. Ili kufanikisha hayo mambo mawili makubwa inabidi yafanyike; · Mgawanyo wa mawaziri vivuli ufanyike upya ili kuruhusu vyama vya CUF na NCCR Mageuzi kuingia kwenye baraza kivuli. Ambalo linaweza kuwa hivi; Freeman Mbowe waziri mkuu kivuli na kiongozi wa upinzani bungeni, Habib Mnyaa – Naibu kiongozi wa Upinzani bungeni na waziri kivuli wa fedha, James Mabatia waziri kivuli wa Elimu nk. · Wapiganie kwa nguvu zote ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano sheria ya Tume ya Uchaguzi ifanyiwe marekebisho makubwa kwani haiko huru kabisa. Hata Mwenyekiti wa tume alishakiri kuwa tume yake haipo huru mbele Jaji Joseph Warioba.

3. Ushirikiano kwenye Uchaguzi.
Ili kuhakikisha ushindi wa kishindo kwa timu ya UKAWA inahitajika ushirikiano usiokuwa na chembe ya hila kwa manufaa ya UKAWA na wananchi kwa ujumla wake Ili kufikia malengo hayo napendekeza yafuatayo; (a) Nafasi ya Urais na Wabunge Zanzibar iyachiwe CUF (b) Nafasi ya Urais Bara (Tanganyika) iyachiwe CHADEMA. (c) Prof. Ibrahimu Lipumba agombee Ubunge Tabora mjini (d) Freeman Mbowe agombee Ubunge jimbo la Hai (e) James Mbatia agombee ubunge wa Vunjo (alishawahi kuwa mbunge 1995 – 2000). (f) Nafasi za ubunge zinazoshikiliwa na washirika zibaki kwa chama husika, mfano; Lindi mjini – CUF, Ubungo – Chadema, Kasulu – NCCR Mageuzi. (g) Viti vya ubunge vingine vilivyobaki vigawanywe kulingana na matokeo ya uchaguzi 2010 na chaguzi nyingine ndogo zilizofuatia. Mfano mahali ambapo Chama washirika kilikuwa cha pili kutoka CCM basi kiruhusiwe kusimamisha mgombea. (h) Nafasi za madiwani nazo zifanywe kama nafasi za ubunge.

4. Hitimisho Ushirika huu umeonyesha ukomavu wa kisiasa uliopitiliza kuanzia hoja, hotuba na ushahidi kutoka katika nyaraka mbalimbali. Kazi hii UKAWA walioifanya inastahili pongezi kwa wananchi wote wapenda demokrasia na amani ya nchi hii. Ni matuamini ya watatnzania kuwa hamtaishia hapo bali mtachukua hatua mbele zaidi ya hapo na ikionekana inafaa basi mapendekezo niliyoyatoa kama mwananchi wa kawaida yazingatiwe kwa umuhimu wake. Kama Coalition itaingizwa kwenya mabadiliko ya tume ya uchaguzi basi jina la UKAWA liwe ni coalition mojawapo kama coaliaton zilizopo Kenya za CORD na JUBILEE. Mungu Ibariki Tanganyika, Mungu ibarika Zanzibar, Mungu Ibariki UKAWA na wananchi wote.

hamna kitu hawa wote ni wachumia tumbo,
 
Jamani naye ni binadamu hata nyerere alikuwa anabadilika kutokana na mahitaji ya wakati husika. Lipumba angesaidia sana kama angekubali kuwa mbunge sababu kwa hili wazo uwezekano wa kupata wabunge wengi ni mkubwa sana ambao watalazimisha kuwa na maridhiano ya uundwaji wa baraza la mawaziri ambalo wao wanawaza kuwa wamoja wao. Kimsingi hilo ni wazo kulingana na katiba tuliyo nayo sasa
 
You are right mkuu, ukawa lazma wajizatiti kuipgania katba mana ndio tumain pekee la watanzania, waungane kwa kila jambo naamin hawa maccm watapotezwa, wameshakubalika na wajpange vzr ktk mapambano! wakiungana hv mpk mwakan hakika magamba watakimbia

viongozi wa ukawa wote sawa tu hakuna prof Lipumba wala macho kumchuzi "Mbowe" wala tundulisu" suranzitto kama unga wa mandazi"
 
1. Utangulizi UKAWA ni Umoja wa Kutafuta Katiba ya Watanzania, ambayo imehasisiwa na NCCR-Mageuzi, CUF na CHADEMA. Katika kuwepo kwake UKAWA imewafungua wananchi wengi macho kuhusu katiba iliyopo na mapungufu yake.Kujitoa kwa UKAWA kwenye bunge la katiba inaashiria kwamba katiba mpya haitaweza kupatikana kivyovyote vile. CCM na vibaraka wake wanaweza kuchakachua kanuni na kufanya uharamia wa kupindisha sheria ili katiba yao ipitishwe na bunge la katiba. Lakini hata wakifanya hivyo uzoefu unaonyesha kwamba hawataweza kupata theluthi mbili ya kura za maoni kwa wananchi wa Zanzibar hata kama watatumia jeshi kupora kura.

2. Ushirikiano ndani ya Bunge Ushirikiano ulioonyeshwa na Bunge la katiba unapaswa uendelezwe ndani ya bunge la Jamhuri ya Tanzania. Ili kufanikisha hayo mambo mawili makubwa inabidi yafanyike; · Mgawanyo wa mawaziri vivuli ufanyike upya ili kuruhusu vyama vya CUF na NCCR Mageuzi kuingia kwenye baraza kivuli. Ambalo linaweza kuwa hivi; Freeman Mbowe waziri mkuu kivuli na kiongozi wa upinzani bungeni, Habib Mnyaa – Naibu kiongozi wa Upinzani bungeni na waziri kivuli wa fedha, James Mabatia waziri kivuli wa Elimu nk. · Wapiganie kwa nguvu zote ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano sheria ya Tume ya Uchaguzi ifanyiwe marekebisho makubwa kwani haiko huru kabisa. Hata Mwenyekiti wa tume alishakiri kuwa tume yake haipo huru mbele Jaji Joseph Warioba.

3. Ushirikiano kwenye Uchaguzi.
Ili kuhakikisha ushindi wa kishindo kwa timu ya UKAWA inahitajika ushirikiano usiokuwa na chembe ya hila kwa manufaa ya UKAWA na wananchi kwa ujumla wake Ili kufikia malengo hayo napendekeza yafuatayo; (a) Nafasi ya Urais na Wabunge Zanzibar iyachiwe CUF (b) Nafasi ya Urais Bara (Tanganyika) iyachiwe CHADEMA. (c) Prof. Ibrahimu Lipumba agombee Ubunge Tabora mjini (d) Freeman Mbowe agombee Ubunge jimbo la Hai (e) James Mbatia agombee ubunge wa Vunjo (alishawahi kuwa mbunge 1995 – 2000). (f) Nafasi za ubunge zinazoshikiliwa na washirika zibaki kwa chama husika, mfano; Lindi mjini – CUF, Ubungo – Chadema, Kasulu – NCCR Mageuzi. (g) Viti vya ubunge vingine vilivyobaki vigawanywe kulingana na matokeo ya uchaguzi 2010 na chaguzi nyingine ndogo zilizofuatia. Mfano mahali ambapo Chama washirika kilikuwa cha pili kutoka CCM basi kiruhusiwe kusimamisha mgombea. (h) Nafasi za madiwani nazo zifanywe kama nafasi za ubunge.

4. Hitimisho Ushirika huu umeonyesha ukomavu wa kisiasa uliopitiliza kuanzia hoja, hotuba na ushahidi kutoka katika nyaraka mbalimbali. Kazi hii UKAWA walioifanya inastahili pongezi kwa wananchi wote wapenda demokrasia na amani ya nchi hii. Ni matuamini ya watatnzania kuwa hamtaishia hapo bali mtachukua hatua mbele zaidi ya hapo na ikionekana inafaa basi mapendekezo niliyoyatoa kama mwananchi wa kawaida yazingatiwe kwa umuhimu wake. Kama Coalition itaingizwa kwenya mabadiliko ya tume ya uchaguzi basi jina la UKAWA liwe ni coalition mojawapo kama coaliaton zilizopo Kenya za CORD na JUBILEE. Mungu Ibariki Tanganyika, Mungu ibarika Zanzibar, Mungu Ibariki UKAWA na wananchi wote.

NAUNGA MKONO HOJA 100% LKN jingine BADILI AVATAR YAKO INAKUDHALILSHA, unweza tumia kitu kingine.
 
Viva ukawa mwanzo mwisho mpaka tanganyika ije ndio penye ufunguo wa maendeleo ya kweli
 
Leo? Au ...............................,,uwezo wa kufikiri umefikia mwisho.
 
viongozi wa ukawa wote sawa tu hakuna prof Lipumba wala macho kumchuzi "Mbowe" wala tundulisu" suranzitto kama unga wa mandazi"

hapa ndipo kuna tofauti kati ya kusoma na kuelimika! Nina
uhakika huyu jamaa ni graduate na ana GPA nzuri kama ya Mwigulu !.
 
Last edited by a moderator:
Naunga mkono hoja.100% ila niongezee hapo waungane wamsimamishe mgombea urais mmoja tu.nafasi ya ubunge kule chama kinakokubalika vyama vyote vinawasha moto kumpigia mmoja tu basi.mengine yote tuko pamoja
 
Back
Top Bottom