Ukawa mkakati wa ushindi huu hapa

Ukawa mkakati wa ushindi huu hapa

Naunga mkono hoja.100% ila niongezee hapo waungane wamsimamishe mgombea urais mmoja tu.nafasi ya ubunge kule chama kinakokubalika vyama vyote vinawasha moto kumpigia mmoja tu basi.mengine yote tuko pamoja
Poa poa mkuu
 
:israel:Big up mkuu nimekusoma saaana! Kwa umoja tutashinda maana naamini umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu!!
 
Back
Top Bottom