FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Amma kwa hakika leo nimefurahi sana, wakati ukawa wanahangaika kutafuta madaraka mpaka ma pressure na kulazwa hospitali. Mbowe vipi? Karuhusiwa kutoka hospitali na madaktari?
Mwenyekiti wa CCM anatazama show live ya Kinondoni Talents. Tuliiii, burdan wa sharaba.
Hiyo ndio tofauti ya wenye uchu wa madaraka na waliojaaliwa madaraka.
Poleni sana UKAWA kwa juhudi zenu na mihemko isiyokuwa na matumaini.
Hongera sana CCM kuonesha ushupavu wa kisiasa.
Mwenyekiti wa CCM anatazama show live ya Kinondoni Talents. Tuliiii, burdan wa sharaba.
Hiyo ndio tofauti ya wenye uchu wa madaraka na waliojaaliwa madaraka.
Poleni sana UKAWA kwa juhudi zenu na mihemko isiyokuwa na matumaini.
Hongera sana CCM kuonesha ushupavu wa kisiasa.