Ukawa leo imeimalika zaidi, ahsante mungu.

Ukawa leo imeimalika zaidi, ahsante mungu.

ndiyomkuusana

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
668
Reaction score
426
Leo baada ya kujiuzuru mweshimiwa Lipumba, Muungano wa katiba wa wananchi UKAWA, unaonekana Kuimalika Zaidi, na Wananchi wapenda mabadiliko wamekwisha jua kwamba . Muheshimiwa Mbowe, Muheshimiwa Self Sharifu Hamad, na Mbatia ndiyo Wapiganaji wa Kweli Ndani ya Ukawa , Na hawa wamehapa Mgombea Wao, Mh. EL kushinda Uchaguzi mkuu Kwa kishindo zaidi.

Hali imekuwa hivyo hata Mitahani, nilikuwa Ubungo. Maeneo ya Yenu Bar napata lunchi, Asilimia kubwa ya watu mule ndani Wote walikuwa wanawafagilia sana Ukawa kwamba lazima Mzee EDO achukue nchi. ni watu wawili tu ndiyo waliokuwa wanamponda EDO . nikapanda basi la Kwenda Mbezi, ni UKawa tu kushika Dola, na Wengine wakadiliki kusema Mwaka huu, CCM watatumia Mbinu zote, Lakini Ukawa Kupitia Muheshiwa EDO, lazima Ukawa washinde.

Kuna Mmoja kasema hata huko Kanda ya ziwa ambako Magufuri anategemea kura nyingi, Wengi wanamuunga Mkono Edo. kuanzia Bukoba, Runzewe, kahama, Shinyanga ,Mpaka Mwanza ni Ukawa kwa kwenda Mbele:

Mzee Mmoja,naye alikuwa amepanda gari kwenda Mbezi Mwisho. Akatoa makadilio ya Ushindi wa lowasa kulingana na Kanda.

Kanda ya ziwa Edo anaweza kushinda kwa 70%
kanda ya kati ,Dodoma,Singida, tabora kwa 81%.

kanda ya Kaskazini Arusha,kilimanjaro,Tanga ,Manyara 99%

kanda ya Pwani Pwani, Dar es salaam ....... 68%

Nyanda Za juu kusini Mbeya, Iringa, Songea 72%

Kusini Lindi na Mtwara............................73%


Naishia kusema LOWASA anatisha Lazima CCM watafutane.
 
Mimi niko Mwanza Edo amekuwa kama wimbo.Makomeo alichoma nyavu zetu hatufai kabisa
 
Ukweli edo anatisha,nilikuwa bunazi juzi kila mtu anasema edo mpango mzima. Wanakwambia hawatasikiliza maneno ya ccm hata kidogo,miaka 50 maneno hayo hayo.
 
Mimi niko Ngara, kila Sehemo ni Lowasa, hivi huyu jamaa alikula nini?, mbona anapendwa Hivi?, Jamaa anatisha acha Tumpe nchi.
 
Leo baada ya kujiuzuru mweshimiwa Lipumba, Muungano wa katiba wa wananchi UKAWA, unaonekana Kuimalika Zaidi, na Wananchi wapenda mabadiliko wamekwisha jua kwamba . Muheshimiwa Mbowe, Muheshimiwa Self Sharifu Hamad, na Mbatia ndiyo Wapiganaji wa Kweli Ndani ya Ukawa , Na hawa wamehapa Mgombea Wao, Mh. EL kushinda Uchaguzi mkuu Kwa kishindo zaidi.

Hali imekuwa hivyo hata Mitahani, nilikuwa Ubungo. Maeneo ya Yenu Bar napata lunchi, Asilimia kubwa ya watu mule ndani Wote walikuwa wanawafagilia sana Ukawa kwamba lazima Mzee EDO achukue nchi. ni watu wawili tu ndiyo waliokuwa wanamponda EDO . nikapanda basi la Kwenda Mbezi, ni UKawa tu kushika Dola, na Wengine wakadiliki kusema Mwaka huu, CCM watatumia Mbinu zote, Lakini Ukawa Kupitia Muheshiwa EDO, lazima Ukawa washinde.

Kuna Mmoja kasema hata huko Kanda ya ziwa ambako Magufuri anategemea kura nyingi, Wengi wanamuunga Mkono Edo. kuanzia Bukoba, Runzewe, kahama, Shinyanga ,Mpaka Mwanza ni Ukawa kwa kwenda Mbele:

Mzee Mmoja,naye alikuwa amepanda gari kwenda Mbezi Mwisho. Akatoa makadilio ya Ushindi wa lowasa kulingana na Kanda.

Kanda ya ziwa Edo anaweza kushinda kwa 70%
kanda ya kati ,Dodoma,Singida, tabora kwa 81%.

kanda ya Kaskazini Arusha,kilimanjaro,Tanga ,Manyara 99%

kanda ya Pwani Pwani, Dar es salaam ....... 68%

Nyanda Za juu kusini Mbeya, Iringa, Songea 72%

Kusini Lindi na Mtwara............................73%


Naishia kusema LOWASA anatisha Lazima CCM watafutane.
Kamanda unamkumbuka Al Saafu?
 
Ukawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa walidhani tutakufa kumbe tusonga mbele tunazunguka na ushindi kaskazin kusini masharki magharibi pande zote za nchi ukawaaa
 
Story za baa ndio unaleta humu?

Pale yenu mchana, wanakulaga Lunchi, kaka au yenu bar haupajui kaka. je na kwenye Basi la kwenda Mbezi JE? Tumia akiri kufikiri sawa- Au haujamuelwa ndiyomkuusana?
 
kura za mafuriko, mama ntilie,boda boda,walimu,wafanyakazi,wote wamehaidi kura zao watazielekeza kwake, huyu bwana ni noma.
 
Ukawa ndo mpango mzima mm ni mwanafunzi wa chuo kikuu kampala kwa ujinga na uboya waliotufanyia hakuna mtu anaetaman ht kuisikia ccm kila mtu ni EL na mwaka huu lazima mawe yageuke mikate ✌
 
Huku tarime kila kona ukipita ni lowasa hadi bendera za ukawa zinapepea kila sehem ndani ya mji wa tarime.
 
Kamanda unamkumbuka Al Saafu?

Ktk yoote mlionifurahisha zaidi ni waswahili.....

JPM alikuwa awe padre kama Slaa akaamua kuchepuka na leo kuna makundi makubwa ya waswahili walioitikia waraka wa Pengo kumpigania JPM

hahahahahahahah Kweli nyie viumbe Mungu kawaumba kiupekee maana mnachopigania kitoke ndicho hicho mnakipigania kiendelee....

Bravo!!!
 
Kinachoniuma ni Mbowe kuua upinzani kwa kushirikana na Lowassa, Hii dhambi itamwandama maisha yake yote.!
 
Back
Top Bottom