UKAWA Kutapakaa nchi nzima

UKAWA Kutapakaa nchi nzima

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,106
Reaction score
138,077
Ratiba ya Kampeni za Ukawa:

KIKOSI CHA CDM 2015:
*Chopa 10

*Mabasi 30

*Magari madogomadogo 500

*Bodaboda 6500

*Baskeli 3000

*ESTER BULAYA

*LEMBELI

*JOHN HECHE
Watafanya kampeni mwanza musoma na tabora.

*TUNDU LISU

*MAKAIDI

Watafanya kampeni singida na Dodoma
*SUGU

*PROF J,

*ADAM ZELLA

*MSIGWA

Watafanya kampeni mbeya, Iringa morogoro na ruvuma
*LEMA

*JOSHUA NASSARI

Watafanya kampeni mikoa ya arusha Kilimanjaro na manyara,Lindi ,mtwara na pwani.
*KAFULILA

*MBATIA

*RWAKATARE

*KUBENEA

*MARANDO

*MTATIRO

Watafanya kampeni D,salaam na Zanzibar.
*SALUM MWALIMU

*MAALIM SEIF

*PLUS TEAM CUF

*JUMA DUNI

*MNYIKA MBOWE

Hawa watazunguka nchi nzima bila kujali kanda.

*TEAM LOWASSA
Hawa watatembea nyumba kwa nyumba

*M4C
Hawa watatembea Kata kwa Kata.

*FRIENDS of LOWASSA Hawa watatapakaa nchi nzima kuleta ushawishi plus CDMA intelligencia watatapakaa nchi nzima kubain wizi, njama na mipango mibaya ya ccm.

C.C Matola
 
Ratiba ya Kampeni za Ukawa:
KIKOSI CHA CDM 2015:
*Chopa 10
*Mabasi 30
*Magari madogomadogo 500
*Bodaboda 6500
*Baskeli 3000
*ESTER BULAYA
*LEMBELI
*JOHN HECHE
Watafanya kampeni mwanza
musoma na tabora.
*TUNDU LISU
*MAKAIDI
watafanya kampeni singida na
Dodoma
*SUGU
*PROF J,
*ADAM ZELLA
*MSIGWA
Watafanya kampeni mbeya,
Iringa morogoro na ruvuma
*LEMA
*JOSHUA NASSARI
Watafanya kampeni mikoa ya
arusha Kilimanjaro na
manyara,Lindi ,mtwara na pwani.
*KAFULILA
*MBATIA
*RWAKATARE
*KUBENEA
*MARANDO
*MTATIRO
Watafanya kampeni D,salaam na
Zanzibar.
*SALUM MWALIMU
*MAALIM SEIF
*PLUS TEAM CUF
*JUMA DUNI
*MNYIKA MBOWE
Hawa watazunguka nchi nzima
bila kujali kanda.
*TEAM LOWASSA
Hawa watatembea nyumba kwa
nyumba
*M4C
Hawa watatembea Kata kwa
Kata.
*FRIENDS of LOWASSA Hawa
watatapakaa nchi nzima kuleta
ushawishi plus CDMA intelligencia
watatapakaa nchi nzima kubain
wizi, njama na mipango mibaya
ya ccm.
C.C Matola

Duuuuu,awile muntdu
 
Last edited by a moderator:
kutapakaa ni kawaida kwa mafuriko.

Nakupenda Mzee Ngoyai. I just needed somebody to deal this f****** ccm. Ni wewe kwa sasa na ninakupa 100% support.
 
Hii tumeanza kuifanya tangu 2011. Tunamwaga sumu za nyuklia kuiangamiza CCM na Masalia yake yote!

''*TEAM LOWASSA
Hawa watatembea nyumba kwa
nyumba''
 
Wewe endelea kutoitendea haki nafsi yako tu safina ndio linang'oa nanga hivyo subiri uione laana ya Mungu.

Mkuu matola maccm wameshanawa ila unao waona humu jamvini ni ingizo jipya malimbukeni wa kazi,kina Ritz,Fayza,kina msalani tayari wapo ndani ya cdm
 
mbona sijaona Dr slaa

Dr. Slaa na Kamanda Lowasa hawajawekwa kwenye timu maana hao watakuwa wanatembea dunia yote.

Yani naona hata hii nchi ni ndogo sana kuongozwa na Eddo nadhani Lowasa angegombea uraisi wa Afrika ndio saizi yake.
 
mkuu Mimi sio gamba maana kuniita gamba ni sawa na kunitukana.
NB sio kila mwenye mawazo mbadala na yako ni gamba

Swali la kamanda linasadifu ukamanda wake, swali lako limesadifu ugamba wake! Next time uliza swali kikamanda utaeleweka kamanda tunafahamiana humu kwa maandishi sio kwa kuonana tu!
 
Back
Top Bottom