TeamLowassa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 1,495
- 937
teh teh watu mna morali ya ajabu ! viva makamanda!.......................
Yani naona hata hii nchi ni ndogo sana kuongozwa na Eddo nadhani Lowasa angegombea uraisi wa Afrika ndio saizi yake.
teh teh watu mna morali ya ajabu ! viva makamanda!.......................
Yani naona hata hii nchi ni ndogo sana kuongozwa na Eddo nadhani Lowasa angegombea uraisi wa Afrika ndio saizi yake.
haah haah mda mwingine tunatupia za vijiweni kidogoteh teh watu mna morali ya ajabu ! viva makamanda!
Swali la kamanda linasadifu ukamanda wake, swali lako limesadifu ugamba wake! Next time uliza swali kikamanda utaeleweka kamanda tunafahamiana humu kwa maandishi sio kwa kuonana tu!
He! Nyie UKAWA hata huruma hamna yaani ndio mmepania kuwaangamiza kabisa hawa machichiemu! toba jamani waachieni angalau kidogo wapumue maana mmewabana mpaka kwenye koloaka! Wanashindwa hata kujisaidia haja ndogo!
Kweli ukawa imeolewa na Lowassa..