Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,202
- 138,567
Jioni ya leo umeanzishwa uzi huu hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-ripoti-ya-escrow-kujadiliwa-bungeni-15.html
Ukijaribu kututoa katika mapambano yanayoendelea dhidi ya wezi wa Escrow,
Marandu amethibitisha kuwa taarifa hizi ni za kizushi,Mbowe yupo njiani toka south Korea ili kuongeza nguvu kuhakikisha mjadala wa escrow unafanyika na Mungu akipenda kesho atakuwa bungeni.
Hakuna kesi ya IPTL iliyofunguliwa leo, jana ama juzi,
Kwakuwasaidia tu, nikuwa kila mtu na asimame ahesabiwa,
Hawa ni sehemu nyingine ya wanufaika wa escrow
Wakuu wa UKAWA bungeni Dodoma kukutana hivi punde katika ukumbi wa Msekwa,pamoja na mambo mengine kukanusha vikali na kukemea propaganda chafu ya wana-ESCROW zinaenezwa kwamba wamefungua kesi mahakamani.Nitawajuza zaidi
Wakanushe pia uvumi kwamba Mbowe amedaka Tshs. 1.5 bn pesa za escrow kwa kuwa hili jambo linamchafua kamanda mbowe.Wakuu wa UKAWA bungeni Dodoma kukutana hivi punde katika ukumbi wa Msekwa,pamoja na mambo mengine kukanusha vikali na kukemea propaganda chafu ya wana-ESCROW zinaenezwa kwamba wamefungua kesi mahakamani.Nitawajuza zaidi
Wakuu wa UKAWA bungeni Dodoma kukutana hivi punde katika ukumbi wa Msekwa,pamoja na mambo mengine kukanusha vikali na kukemea propaganda chafu ya wana-ESCROW zinaenezwa kwamba wamefungua kesi mahakamani.Nitawajuza zaidi
Kwani Yeriko ndo msemaji wa UKAWA?Cc lumumba buku saba
Kanusho la kipuuzi sana hili
Hawezi kuja kule coz anajua anachokifanya ni propagandaNjoo ukanushe kule barazani
Umekalia kigogo weweTezi dume linakuwasha
Mlifungua uzi wa kizushi mods wakaufunga. Ila kaka/Dada, unajua hata ukiwashabikia akina chenge,msoto wa maisha hauchagui wewe ni wa chama gani. Gharama kubwa za umeme hazichagui ccm wa la ukawa. Tuwe pamoja kuwapinga hawa wezi tupate unafuu wa maishaWakanushe pia uvumi kwamba Mbowe amedaka Tshs. 1.5 bn pesa za escrow kwa kuwa hili jambo linamchafua kamanda mbowe.
Kanusho la kipuuzi sana hili