Amani iwe nanyi, tetesi nilizozipata hivi punde ni kwamba umoja wa katiba ya wananchi(ukawa) unataraji kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima kuongea na wananchi. Naomba tusubiri kama ni kweli. Inaelezwa lengo la mikutano hiyo ni kudai katiba mpya na kuwashukuru watanzania kwa kuchagua wabunge wengi kutoka upinzania na kuvunja rekodi ya chaguzi za nyuma. Mungu ibariki tanzania