Jimbo la kafulila hilo au nani?
Hapana sio kwa Mh. Kafulila ni majimbo ya Buyungu(Kakonko), Buhigwe na Kasulu
Wangeenda kwa kafulila ingekuwa poa sana
Kwani kafulila yuko jimbo gani?
Hahahahahahaa ili iweje?
Hata la kafulila tatizo ni hilo hilo.
Hilo ni tatizo dogo intelijensia ya ukawa itashughulikia hilo suala kisha mambo yatakaa poa.
Kwani we unaona wana akili mzuri hawa ugomvi ni sehemu ya maisha yao hivyo waende kwa kafulila kudumisha migogoro
Magufuli hataki stori za nitashughulikia!!