Click Hapa
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 479
- 206
Wana JF,
Hata kama TV station hatakiwi kuingiliwa kwenye mipango ya either ni habari ipi irushwe na ipi isirushwe, ila kwa hili la Leo Channel Ten wamenishangaza sana.
TV station zinafunguliwa kwa ajiri ya watazamaji wote bila kujali itikadi za vyama vya siasa, ukabila, udini n.K
TV station inapoanza kubagua kuwa habari hii irushwe na hii isirushwe bila kujali habari hiyo ina interest gani kwa watazamaji nadhani hilo kinakuwa ni tatizo.
Hivi ni kweli kwamba yaliyokuwa yanaendelea mkoani mbeya pale ambapo mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA ndg. E. Lowasa alikuwa anatambulishwa rasmi Leo Jijini Mbeya, kwa Channel Ten hii kwao si habari ya kuirusha ili watazamaji waione ilivyo kuwa?
Au ndo tuseme na TV station hii sasa imekuwa na mrengo mwingine na imeingia kwenye siasa za nchi hii rasmi?
Kama hivyo ndivyo basi UKAWA wajipange maana hii vita ni kubwa.
Hata kama TV station hatakiwi kuingiliwa kwenye mipango ya either ni habari ipi irushwe na ipi isirushwe, ila kwa hili la Leo Channel Ten wamenishangaza sana.
TV station zinafunguliwa kwa ajiri ya watazamaji wote bila kujali itikadi za vyama vya siasa, ukabila, udini n.K
TV station inapoanza kubagua kuwa habari hii irushwe na hii isirushwe bila kujali habari hiyo ina interest gani kwa watazamaji nadhani hilo kinakuwa ni tatizo.
Hivi ni kweli kwamba yaliyokuwa yanaendelea mkoani mbeya pale ambapo mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA ndg. E. Lowasa alikuwa anatambulishwa rasmi Leo Jijini Mbeya, kwa Channel Ten hii kwao si habari ya kuirusha ili watazamaji waione ilivyo kuwa?
Au ndo tuseme na TV station hii sasa imekuwa na mrengo mwingine na imeingia kwenye siasa za nchi hii rasmi?
Kama hivyo ndivyo basi UKAWA wajipange maana hii vita ni kubwa.