Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,860
- 50,646
Tangu zianze Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu hatujaona mikutano "Live" ya UKAWA zaidi ya ule wa Uzinduzi pale Jangwani. Hatuyaoni matangazo ya maana kwenye TV na Magazeti ya kuhamasisha wale wasiohudhuria mikutanoni. Tatizo ni Gharama au siyo sehemu ya mikakati yenu??