Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
- Thread starter
- #21
Umechukizwa kwa hiyo kila anachofanya makonda ni sawa mnamsifia, akifanya mayor wa chadema mnaponda Hata kama ni kizur . Think twice acha kukurupuka.
Nimechukia kukaa kwenye TV nakuongea kitu cha kupotosha watu. huku talaamua na sheria ipo tofauti.