UKAWA Aibu! Tena Makonda umedhihirisha: Meya wa Kinondoni Umechemka Sana Mzee

Unachanganya mambo, inawezekana hujui kabisa mambo yanavyofanyika katika kuomba na kupata miradi hii, kuna consultants na contractors, consultants tunakuta ma Architects, Engineers, Quantity surveyors n.k. Hawa ndio wanahusika na feasibility study, design na preparation of tender docments, evaluation na supervision.

Mkandarasi kazi yake ni kutekeleza kilichopo kwenye michoro, kulingana na vigezo, masharti na maelekezo wanayopewa na hawa consultants, na kwenda kinyume na hapo ni kujitafutia matatizo.

Kosa liko kwa consultants kama walishindwa kukagua kazi kama zipo katika standard zao na matarajio yao, wao walitakiwa kukagua na kuthibisha

Kosa lipo kwa mkandarasi, kama alifanya kazi chini ya kiwango na hakurekebisha na kama aliwapa consultants rushwa ili apitishe kazi zao

Kosa kubwa lipo kwa hao walioipokea hiyo miradi na kuridhika nayo. Ina maana hawakuwa competent kung'amua

Kumsimamisha mkandarasi pekee ni kosa kubwa sana wakati kazi imekubaliwa na waliokuwa wanamsimamia, na kuwaacha wasimamizi na waandaaji wa huo mradi ina maana kuna uonevu unaondelea

Mkandarasi akitumia material zisizo na kiwango ujue kabisa engineer consultant karuhusu, akijenga kitu ambacho sicho ujue kabisa ndivyo alivyoambiwa ajenge,

Yote haya mjenzi anayajua ndio maana anweza kusoma na kulewa. but barabara mbovu na isyokidhi viwango vya ujenzi anahusika mjenzi. Engineer ama mkandarasi hana pa kusingizia. Ni mfano Phamacist, tabibu na nesi Dokta ameshindwa kuona dalili na kumpa dawa ambazo yeye anajua akimpa mgonjwa anakufa. Msidharau fani ya engineer kizembe
 
sasa hapo ndio ujue kwanini engineer alipe kiasi kidogo
Angesema Engineer sasa, sio mkandarasi. Lakini Engineer wa mkandarasi yupo kikazi zaidi, sio kimaamuzi. Walioamua miundombinu ijengwe hapo ni mainjinia wa jiji, sasa kwa nini aadhibiwe mkandarasi wa ujenzi? Wewe umeajiri fundi, ameanza kujenga hadi kozi nne, mkeo anakuja anasema hapendi hiyo ramani ya nyumba, mnaamua kusimamisha ujenzi. Fundi atalipwa au hatalipwa kwa kazi iliyofanyika hadi pale?
 
Baada ya Mbuge mmoja kushuku uelewa wa spika sasa Mwingine tena anawatetea wasiyo na ujuzi ama wamesahau material ama wanatumia udhaifu wa mamlaka, Kujenga barabara mbovu nakutoa kisingizio cha aibu kuabisha taaluma za makandarasi.

Nimeshangaa kuona ITV Meya wa chadema anaongea kwa confidence akiwalaumu wakina Makonda kwa kuwasimamisha makandarasi wachovu huku akiangaliwa na dunia nzima kupitia Tv mbalimbali.

Hivi huyo kandarasi amesoma wapi mpaka apewe michoro na kuimini na kuanza kujenga bila kufanya tathimini ya eneo. Yaani kwa taaluma ya ujenzi hata sehemu haijawahi kupitisha maji miaka 1000 iliyopita ukisoma tabia ya eneo utajua hapa mafuriko lazima yatakuja tu.

Angeomba eneo hilo lifanyiwe upembuzi yakinifu upya kabla ajajenga . Sasa kama huyo kandarasi kama akijenga gorofa si ataua watu ama daraja ni mauaji.

Ndio maana kuna somo la engineer drawings,Environmental Engineering kwa makandarasi.

President Shule imepanda kichwani nadhani kama alikuwa anaangalia TV alicheka kidogo kimchomekeo.


Sio lazima ku click new posts na kuanza kuumiza kutype keys za keyboard for nonsenses!
 
Kumbe hapa Kuna tatozo la kuelewa mambo,

Hatua imechukuliwa sawa, Je mtu aliyechukua hiyo hatua ni sahihi? Makonda ni halali kufungia Makandarasi? Kawafungia sawa, hatua za kitaalam zinazofuata ni zipi? Au tumekubali hasara,

Unajua kukurupu na kuchukua hatua bila Kwanza kushilikisha wataalam ni kosa,

Ushahidi upo Serikali kushindwa kesi nyingu kwa sababu ya kukurupuka na kutaka sifa kwa viongozi
 
Shida yangu unapojenga mchoro tofatuti sehemu tofatuti si tatizo la mchoraji ni tatizo la mjenzi hiii imekaaa kitaluma na kisheria zaidi. Na egineer wa mkandarasi ndio wa kushitakiwa wa kwanza
Mbona unajichanganya sana leo!
Mkandarasi yupo chini ya nani???
Mkandarasi anawajibika kwa nani??
Unapojenga mchoro tofauti ni kosa la msimamizi ambaye anakusimamia.
Msimamizi hapaswi kupokea jengo au barabara anmbayo ni kinyume na mchoro uliotakiwa.
Katika hili unang'ang'ania usichokijua.
 
Baada ya Mbuge mmoja kushuku uelewa wa spika sasa Mwingine tena anawatetea wasiyo na ujuzi ama wamesahau material ama wanatumia udhaifu wa mamlaka, Kujenga barabara mbovu nakutoa kisingizio cha aibu kuabisha taaluma za makandarasi.

Nimeshangaa kuona ITV Meya wa chadema anaongea kwa confidence akiwalaumu wakina Makonda kwa kuwasimamisha makandarasi wachovu huku akiangaliwa na dunia nzima kupitia Tv mbalimbali.

Hivi huyo kandarasi amesoma wapi mpaka apewe michoro na kuimini na kuanza kujenga bila kufanya tathimini ya eneo. Yaani kwa taaluma ya ujenzi hata sehemu haijawahi kupitisha maji miaka 1000 iliyopita ukisoma tabia ya eneo utajua hapa mafuriko lazima yatakuja tu.

Angeomba eneo hilo lifanyiwe upembuzi yakinifu upya kabla ajajenga . Sasa kama huyo kandarasi kama akijenga gorofa si ataua watu ama daraja ni mauaji.

Ndio maana kuna somo la engineer drawings,Environmental Engineering kwa makandarasi.

President Shule imepanda kichwani nadhani kama alikuwa anaangalia TV alicheka kidogo kimchomekeo.
Ndugu yangu ungeanza kuweka fani yako afu ndo tuelewe tunaongea na nani.
isije ikiwa tunaongea na mwalimu wa somo la historia kwenye mambo ya kiuhandisi.

Tafuta mkandarasi yeyote aliyewahi kufanya kazi
na mainjinia wa manispaa yoyote umuulize kuhusu
wanapopewa michoro huwa wanaambiwa nini? ndo uje na andiko lako.

Kama serikali ya sasa itajikita kwenye kufanya upembuzi
yakinifu itakuwa vema.Huwezi kujiuliza barabara zote mbovu
tulizonazo kama issue ni wakandarasi wabovu,ni kwa nini wahandis wa manispaa
hawakuzikataa? Walikuwa wanazipokea kwa sababu ndo michoro na maelekezo
waliyoyatoa.

Kwenye uhandisi unatengeneza kitu kufuatana na mchoro
uliopewa na aliyedisgn,kama utaona mapungufu unamshauri akikataa
unaangalia maslahi.kama inaharibu jina lako unaachana nayo.
na kama hakuna shida unapiga kazi uliyopewa na unalipwa
sawa sawa na kazi uliyoifanya,
 
Baada ya Mbuge mmoja kushuku uelewa wa spika sasa Mwingine tena anawatetea wasiyo na ujuzi ama wamesahau material ama wanatumia udhaifu wa mamlaka, Kujenga barabara mbovu nakutoa kisingizio cha aibu kuabisha taaluma za makandarasi.

Nimeshangaa kuona ITV Meya wa chadema anaongea kwa confidence akiwalaumu wakina Makonda kwa kuwasimamisha makandarasi wachovu huku akiangaliwa na dunia nzima kupitia Tv mbalimbali.

Hivi huyo kandarasi amesoma wapi mpaka apewe michoro na kuimini na kuanza kujenga bila kufanya tathimini ya eneo. Yaani kwa taaluma ya ujenzi hata sehemu haijawahi kupitisha maji miaka 1000 iliyopita ukisoma tabia ya eneo utajua hapa mafuriko lazima yatakuja tu.

Angeomba eneo hilo lifanyiwe upembuzi yakinifu upya kabla ajajenga . Sasa kama huyo kandarasi kama akijenga gorofa si ataua watu ama daraja ni mauaji.

Ndio maana kuna somo la engineer drawings,Environmental Engineering kwa makandarasi.

President Shule imepanda kichwani nadhani kama alikuwa anaangalia TV alicheka kidogo kimchomekeo.
MLITAKA AENDELEE NAOO KAMA HIVYO MBONA WALE VIJANA WAMANISPAA MLIWASIMAMISHA MKADAI WANAMAPUNGUFU TUACHE SIASA KWENYE PESA ZA WANANCHI

KAMA MKANDARASI ANAONA PESA NDOGO TOFAUTI NA KAZI AMECHUKUA KAZIYA NINI..NA KWANINI UKUBALI KUHARIBU JINALAKAMPUNIYAKO KISA PESA NDOGO SHAME N THEM GO MAKONDA GO

NIWAAMBIEE TU NJAA NDIZO ZIMETUFIKISHA HAPA..NAWAAMBIA KUANZIA YULE MHANDISI WA MANISPAA HANA ADABI KABISAA YULE NDIE KATUTIA MIMBA ANAUWEZO WAKUGOMEA KUSAINI BARABARA AIJAISHA SHIDA ILIOPO WANAKULA TEN PERCENT WANANYAMAZA KIMYA HUU UCHAFU LAZIMA UFE MH MEYA AKUBALIANE TU NA HALIHALISI EE NEED CHANGES

NENDEN MTAONA KUNA KAKAMPUNI CHA MKUBWA FULANI KIMEARIBU BARABARA KIBAO LAKINI KILA TENDA KINASHINDA WANAKAA KIKAO WANALALAMIKAA WEEEE WAKIFIKA KUTOA TENDA WANAMPA TENA HUO UPUUZ UFE
 
Baada ya Mbuge mmoja kushuku uelewa wa spika sasa Mwingine tena anawatetea wasiyo na ujuzi ama wamesahau material ama wanatumia udhaifu wa mamlaka, Kujenga barabara mbovu nakutoa kisingizio cha aibu kuabisha taaluma za makandarasi.

Nimeshangaa kuona ITV Meya wa chadema anaongea kwa confidence akiwalaumu wakina Makonda kwa kuwasimamisha makandarasi wachovu huku akiangaliwa na dunia nzima kupitia Tv mbalimbali.

Hivi huyo kandarasi amesoma wapi mpaka apewe michoro na kuimini na kuanza kujenga bila kufanya tathimini ya eneo. Yaani kwa taaluma ya ujenzi hata sehemu haijawahi kupitisha maji miaka 1000 iliyopita ukisoma tabia ya eneo utajua hapa mafuriko lazima yatakuja tu.

Angeomba eneo hilo lifanyiwe upembuzi yakinifu upya kabla ajajenga . Sasa kama huyo kandarasi kama akijenga gorofa si ataua watu ama daraja ni mauaji.

Ndio maana kuna somo la engineer drawings,Environmental Engineering kwa makandarasi.

President Shule imepanda kichwani nadhani kama alikuwa anaangalia TV alicheka kidogo kimchomekeo.
Sura imekushuka,leo hata posho mushkeli,ha ha ha haaaaa
 
MLITAKA AENDELEE NAOO KAMA HIVYO MBONA WALE VIJANA WAMANISPAA MLIWASIMAMISHA MKADAI WANAMAPUNGUFU TUACHE SIASA KWENYE PESA ZA WANANCHI

KAMA MKANDARASI ANAONA PESA NDOGO TOFAUTI NA KAZI AMECHUKUA KAZIYA NINI..NA KWANINI UKUBALI KUHARIBU JINALAKAMPUNIYAKO KISA PESA NDOGO SHAME N THEM GO MAKONDA GO

NIWAAMBIEE TU NJAA NDIZO ZIMETUFIKISHA HAPA..NAWAAMBIA KUANZIA YULE MHANDISI WA MANISPAA HANA ADABI KABISAA YULE NDIE KATUTIA MIMBA ANAUWEZO WAKUGOMEA KUSAINI BARABARA AIJAISHA SHIDA ILIOPO WANAKULA TEN PERCENT WANANYAMAZA KIMYA HUU UCHAFU LAZIMA UFE MH MEYA AKUBALIANE TU NA HALIHALISI EE NEED CHANGES

NENDEN MTAONA KUNA KAKAMPUNI CHA MKUBWA FULANI KIMEARIBU BARABARA KIBAO LAKINI KILA TENDA KINASHINDA WANAKAA KIKAO WANALALAMIKAA WEEEE WAKIFIKA KUTOA TENDA WANAMPA TENA HUO UPUUZ UFE
Mbona mmewapa wilaya na mikoa waliokataliwa na wananchi?
 
Mbona mmewapa wilaya na mikoa waliokataliwa na wananchi?
Mkuuu wanachokosea wengi awajuii

M sio ccm n mfwatiliaji sana wa mamboyao..maana nampango wakuanzisha chama changu uchaguzi ukikaribia pdadesco..

Wengi walioteuliwa awakukataliwa NA wananchi wengiwao waliishia ngaxi ya chama MKUU nenda kina gondwe ..wakowengi tu walipambana ndani ya chama ......kutopita sio kwamba hufai waliokuwepo n bora zaidi ndio maana wenzetu wanawatengeneza vijana kwa ajili ya ubunge NA nakuhakikishiaa hiii list 139 inakwenda pambana NA ubunge wapinzani tujiandae sanasanaa HII idadi iliopo Bungen tunawezaisikia KWENYE bomba

Awa madogo wanapangwa kwa uongozi wa badaee NA sitoshangaa kuona nusu yao wakiwa wakuuu wamikoa hapo badaae...
 
Pumba tu,,kwani lazima uanzishe thread ndo mana hampewi ukuu wa wilaya kwa haya mapumba..haya makonda kaiona kachukue buku saba yako
Mkuuuu mmeenda mahakamani mnatakaa Uhuru wa TV redio

Magazetini tumeanzalaani ooh akuna Uhuru wakufanya siasa

Jf imetoa Uhuru wa habari hats ukiandika hisia zako wapo wataziheshimu nakuzifanyiakazi. Wapowatakaozidharau nakuzipotezea..hats bila kuonyesha wazi hisia walizonazo

Naemwandishi anahaki kama wewee ulieandika hisia zako so lazima afwate unachokitaka......

Takbiiiiiirrrrr
 
Pascali
Unachanganya kati ya mkandarasi(contractor) na mhandisi(engineer). Mkandarasi ni mfanyabiashara tu. Ila kampuni yake inatakiwa iwe na wahandisi. Uvccm ya mwendokasi wa mr alcohol hii kazi sana.
 
Ujenzi ulio chini ya halmashauri utaendelea kuwa chini ya kiwango kutokana na mwingiliano wa kisiasa na usumbufu katika ulipaji.
 
Mkuuuu mmeenda mahakamani mnatakaa Uhuru wa TV redio

Magazetini tumeanzala
Sawa mkuu mwambie basi aandike vinavoeleweka,,,nimempa ushauri alete mada zenye zinaeweka siku ingine sio ushabiki usio na maana
 
Yote haya mjenzi anayajua ndio maana anweza kusoma na kulewa. but barabara mbovu na isyokidhi viwango vya ujenzi anahusika mjenzi. Engineer ama mkandarasi hana pa kusingizia. Ni mfano Phamacist, tabibu na nesi Dokta ameshindwa kuona dalili na kumpa dawa ambazo yeye anajua akimpa mgonjwa anakufa. Msidharau fani ya engineer kizembe

Mkuu hivi unajua mkandarasi hawezi kuendelea na kazi kama engineer hajaridhika na utekelezaji?lazima mkandarasi apewe go ahead na hawa consultants, binafsi ni engineer na ninajua ninachokuambia
 
Hivi huyu jamaa si ni mwandishi wa habari huyu!? Sasa mbona kaandika kwa kutumia matope kiasi hiki? Mada haieleweki hata kidogo.
 
Baada ya Mbuge mmoja kushuku uelewa wa spika sasa Mwingine tena anawatetea wasiyo na ujuzi ama wamesahau material ama wanatumia udhaifu wa mamlaka, Kujenga barabara mbovu nakutoa kisingizio cha aibu kuabisha taaluma za makandarasi.

Nimeshangaa kuona ITV Meya wa chadema anaongea kwa confidence akiwalaumu wakina Makonda kwa kuwasimamisha makandarasi wachovu huku akiangaliwa na dunia nzima kupitia Tv mbalimbali.

Hivi huyo kandarasi amesoma wapi mpaka apewe michoro na kuimini na kuanza kujenga bila kufanya tathimini ya eneo. Yaani kwa taaluma ya ujenzi hata sehemu haijawahi kupitisha maji miaka 1000 iliyopita ukisoma tabia ya eneo utajua hapa mafuriko lazima yatakuja tu.

Angeomba eneo hilo lifanyiwe upembuzi yakinifu upya kabla ajajenga . Sasa kama huyo kandarasi kama akijenga gorofa si ataua watu ama daraja ni mauaji.

Ndio maana kuna somo la engineer drawings,Environmental Engineering kwa makandarasi.

President Shule imepanda kichwani nadhani kama alikuwa anaangalia TV alicheka kidogo kimchomekeo.
Hivi mkuu una uelewa wowote juu ya ulicho andika?
 
Back
Top Bottom