Ndio hapo nimeshangaaje na kusikitika mwanzoni nilisema hawa wanatumiwa na isitishe wamehongwa sasa kila kukicha wanaona lengo lao halitiimi inabidi waanze plani B. waliyoiandaa ya kuvuruga mchakato mzima wa Katiba.
Sikutegemea Lipumba awaka very low kiasi hicho kwa kuwaita wenzie interahamwe huku akijua fika kuwa Interahamwe ni kundi la kihutu lililoongoza mauaji ya Kimbari nchini Rwanda.. Hivi ukiunganisha nukta hupati jibu Kagame alishawahi kumtusi Kikwete anawasaidi FDRL ambalo ni kundi la Kihutu lililohusika na Mauaji ya Kimbali. Kisa tu alitoa ushauri wazugumze.
Sasa Lipumba kaona bora atamke Interahamwe kwa sababu wimbo ni ule ule wa kuwaambia Watanzania wote Wanaopenda amani, umoja na muungano uendelee leo wamekuwa ni wenye chuki na wanaojiandaa na mauaji ya Kimbari. kama INTERAHAMWE.
KWELI KUWA MZEE SIO KIPIMO CHA HEKIMA.
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
yaani ukawa kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious msirudi kabisa bungeni tena. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia mtatukuta barabarani. Karibuni sana!! Waacheni wanaotaka katiba ya tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa kutorudi tena bungeni. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha utoto mkubwa!
mkuu hivi pale mnajadili nini?rasimu ya warioba au rasimu gani?maana kwa uelewa wangu ilitakiwa ijadiliwe rasimu ya warioba ambayo tumeigharamikia mabilioni kwa mabilioni kuipata, au nyie hamuoni uchungu na pesa zetu?
Anyway kwasababu hamlipi kodi hamuwezi kuwa na uchungu na hizo pesa, na ndio maana mmeanzisha yenu mnayoyajua. Mimi ni raia huru nisiye na chama lakini nakuambia walichofanya hao jamaa ni sahihi kabisa. Na kama nyie mna ubavu basi endeleeni kujadili hiyo katiba, tuone itakuwa katiba ya nani.. Mtaipata 2/3 ya kura kuipitisha?labda mchakachue kanuni kama ilivo kawaida yenu, otherwise......
Endeleeni na kikao cha kutengeneza katiba ya chama chenu....
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
kwa Nape ni ngumu sana kukujibu
Lisu katukana mpaka basi baada ya matusi kuisha wametoka kwenye bunge wakatafute matusi mengine.
With due respect to your leadership position I advice you to restrain from using your own intuitions in issues which have remarkable concequences to our nation well being. You should know better that failure to exist(as is expected in parliament) with people with different views removes the basic cridential of a political democratic leader. In other words it is childsh to encourage constitution assembly without the opposing voice.(regardless of their number). I would expect a person of your position to be well adviced to know the importance of oposing voices and encourage the opposition to join back the ongoing debate. Opposing ideas in democratic system are its strength. Imposition of ideas equals dictatorship which is not a political option desired.Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Nape Nnauye wewe kwa umri mdogo lakini kwa mamlaka ni mtu mkubwa.Katibu wa Uenezi na itikadi wa CCM si mtu mdogo hata kidogo.Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Sioni kama kususa ni busara na
wanahoja za msingi, kwanini
hawakupinga tangu ile sheria
iliyoanzisha mchakato? Na
kwanini wamekaa hadi siku 60
ndo watoke? Je pesa waliotumia
na kisha wakasusa hawaoni
kama wanatuingiza hasara
wananchi? Hivi kama wanasusa
ni kwavipi watatutetea ka kweli
wanalengo hilo? This is totally
wrong dear Ukawa.
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!