Ukatili wa wanawake

Ukatili wa wanawake

Jifanye hujakasirika mweke karibu siku akikutunuku tena..mle jicho usiku kucha
 
Asante kwa kulitambua hilo....sasa kama hujaolewa mie naomba nikowowe...hakuna kugegeda mpaka ndoa
Huo muda wote utavumilia!??
Mungu humpa kila mmoja wa kufanana nae.
Usitegemee mtu mwema km ww mwenyewe Sio mwema
 
Huo muda wote utavumilia!??
Wala hamna shida...kwani fwachunguzana nini cha ajabu ...mere fact kwamba hamna kugegedana kabla ya ndoa tayari 85% naamini wee ni mkd mwema ...kitachoangalia zaidi ya hapo ni je wee mchapa kazi basi.
 
Wala hamna shida...kwani fwachunguzana nini cha ajabu ...mere fact kwamba hamna kugegedana kabla ya ndoa tayari 85% naamini wee ni mkd mwema ...kitachoangalia zaidi ya hapo ni je wee mchapa kazi basi.
Wewe ni mwema!??
Usitegemee mtu mwema hali wewe Sio mwema
 
Ingekuwa ni ukuriani sijui angepita wapi ndio hivyo wanaume tunasema wanawake hawasomeshwi wewe sio baba ake fala sana huyo rafiki yako na wewe ukiwemo ukaka kimya nazi wewe
 
Aliniahidi atanioa,nilivyopata mimba akasema nitoe nilipokataa akasepa...suala kunioa hakua nalo kichwani.UDANGANYIFU NI UKATILI.Sijawahi umia mwanaume akiumizwa au akifa coz of love relationship. Swear!!!
 
Aliniahidi atanioa,nilivyopata mimba akasema nitoe nilipokataa akasepa...suala kunioa hakua nalo kichwani.UDANGANYIFU NI UKATILI.Sijawahi umia mwanaume akiumizwa au akifa coz of love relationship. Swear!!!
Duh pole
 
“Uyo jamaa yako nkikutana nae napiga yeye ,wew pamoja & ndugu zenu ote na mkitoa aja kubwa kw kpigo napiga nacho kinyes" Utasomeshaje Mchumba nisawasaw kubetia Mbao fc win 5-0 mbele y Barc
 
Back
Top Bottom