Ukatibu Mkuu waigawa Chadema

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,747
Mchakato wa kumsaka mrithi wa kiti cha Katibu Mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), unaelekea kukogawa chama hicho, RAI limegundua.

Kwa jinsi mwenendo wa kuhakikisha mrithi sahihi wa Dr. Wilbroad Slaa anapatikana kumekuwa na makundi mawili makubwa yanayokinzana juu ya nani anastahili kushika nafasi hiyo.

Kundi moja linaloongozwa na baadhi ya vigogo wa chama hicho, linamtaka naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Salim Mwalimu ambaye sasa anakaomu nafasi hiyo.
Upamde wa pili unaongozwa na baadhi ya Wabunge na wajumbe wanaoshiriki kwenye vikao vya maamuzi wao hitaji lao ni Waziri Mkuu wa Zamani, Fredrick Sumaye.
Kikao cha Jumamosi jijini mwanza ndicho kitakachotegua kitendawili hicho.
Source: Rai nguvu ya hoja.
 
mwalim hawezi kuupewa hiyo nafasi kamwe maana wao wenyewe

1.hawamwamini
2.muislam
3.hajatokea kwetu kule juu
huu ndo ukweli japo watu watanishambulia kuwa naleta udin na...ubaguzi
mwalim aliteuliwa tu ili kunutralize hali ya chama kipindi hicho DR . slaa akiwa katibu
 
Chad
Mchakato wa kumsaka mrithi wa kiti cha Katibu Mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), unaelekea kukogawa chama hicho, RAI limegundua.

Kwa jinsi mwenendo wa kuhakikisha mrithi sahihi wa Dr. Wilbroad Slaa anapatikana kumekuwa na makundi mawili makubwa yanayokinzana juu ya nani anastahili kushika nafasi hiyo.

Kundi moja linaloongozwa na baadhi ya vigogo wa chama hicho, linamtaka naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Salim Mwalimu ambaye sasa anakaomu nafasi hiyo.
Upamde wa pili unaongozwa na baadhi ya Wabunge na wajumbe wanaoshiriki kwenye vikao vya maamuzi wao hitaji lao ni Waziri Mkuu wa Zamani, Fredrick Sumaye.
Kikao cha Jumamosi jijini mwanza ndicho kitakachotegua kitendawili hicho.
Source: Rai nguvu ya hoja.[/QUOTE
Chadema wametupa almasi (Dr.Slaa) kwa kupokea kipande cha chupa ((Lowassa)..yeyote atakayeteuliwa akiwa mmoja wapo wa waliomsafisha EL atakishushia chama hadhi.
e..
 
Mchakato wa kumsaka mrithi wa kiti cha Katibu Mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), unaelekea kukogawa chama hicho, RAI limegundua.

Kwa jinsi mwenendo wa kuhakikisha mrithi sahihi wa Dr. Wilbroad Slaa anapatikana kumekuwa na makundi mawili makubwa yanayokinzana juu ya nani anastahili kushika nafasi hiyo.

Kundi moja linaloongozwa na baadhi ya vigogo wa chama hicho, linamtaka naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Salim Mwalimu ambaye sasa anakaomu nafasi hiyo.
Upamde wa pili unaongozwa na baadhi ya Wabunge na wajumbe wanaoshiriki kwenye vikao vya maamuzi wao hitaji lao ni Waziri Mkuu wa Zamani, Fredrick Sumaye.
Kikao cha Jumamosi jijini mwanza ndicho kitakachotegua kitendawili hicho.
Source: Rai nguvu ya hoja.
Chadema wametupa almasi (Slaa) na kupokea chupa (Lowassa)...wakiteuwa mtu aliyemsafisha EL hatakuwa na mvuto!
 
Salum mwalim hawezi pewa sababu ni kama toilet paper, anatumika tu, kura za zenji chadema hawana kazi nazo, ni kidogo sana! Watamweka mtu wa kazkazini kapi la sisiemu.
 
Mungu wangu, ulivyoiandama chadema hizo ajira#46 zitoke tu sasa mnakoelekea mtakuwa machizi.
 
mwalim hawezi kuupewa hiyo nafasi kamwe maana wao wenyewe

1.hawamwamini
2.muislam
3.hajatokea kwetu kule juu
huu ndo ukweli japo watu watanishambulia kuwa naleta udin na...ubaguzi
mwalim aliteuliwa tu ili kunutralize hali ya chama kipindi hicho DR . slaa akiwa katibu
Acha kuandika maneno ya uhongo wwe mwanaume lazima uwe mfano
 
mwalim hawezi kuupewa hiyo nafasi kamwe maana wao wenyewe

1.hawamwamini
2.muislam
3.hajatokea kwetu kule juu
huu ndo ukweli japo watu watanishambulia kuwa naleta udin na...ubaguzi
mwalim aliteuliwa tu ili kunutralize hali ya chama kipindi hicho DR . slaa akiwa katibu
Acha ubwege dogo.

Mbona unaleta udini tena kwenye mambo ya msingi??
 
Chadema hawana jipya tena hasa huyu Mwalim ndiyo anakoroga mambo kabisa. Tunasubiri chama kipya
 
Tuliomaliza kidato cha sita Ihungo High School 1979 ni kamanda wa anga tu hakupata cheti baada ya kuzunguka mhimili....anacho cha form four tu.
 
Wampe John Mrema.

Huyu ni mwenzetu kwahiyo chama kitakuwa kwenye mikono salama ya mkaskazini mwenzetu.
 
Chadema wametupa almasi (Slaa) na kupokea chupa (Lowassa)...wakiteuwa mtu aliyemsafisha EL hatakuwa na mvuto!
DK Slaa amekulia ccm ina maana hamkumuona kama ni almasi na hata Lowasa mlimpa uwaziri mkuu hakuna siku mlisema ni mchafu hadi anaondoka ndo mmekuja kutwambia ni mchafu
 
mwalim hawezi kuupewa hiyo nafasi kamwe maana wao wenyewe

1.hawamwamini
2.muislam
3.hajatokea kwetu kule juu
huu ndo ukweli japo watu watanishambulia kuwa naleta udin na...ubaguzi
mwalim aliteuliwa tu ili kunutralize hali ya chama kipindi hicho DR . slaa akiwa katibu
Ikiwa kinyume na haya matarajio yako utavanish kama upepo.
 
wana ccm wamekuwa wasemaji wa chadema,,makubwa ila hongereni kitengo cha propaganda lumumba kwa kuongezewa nguvu nasikia siku hizi ni buku 9 badala ya 7.



hongera sana jpm kwa kukiongezea hiki kitengo nguvu.
 
Kwa bahati mbaya sana kati ya hao wawili hakuna mwenye mvuto,mwalimu amekalia hicho kiti kipindi chote dr slaa baada ya kuondoka lakini yupo kama hayupo,huyu Sumaye nae ana damu ya bundi hana mvuto tangu yupo CCM
 
mwalim hawezi kuupewa hiyo nafasi kamwe maana wao wenyewe

1.hawamwamini
2.muislam
3.hajatokea kwetu kule juu
huu ndo ukweli japo watu watanishambulia kuwa naleta udin na...ubaguzi
mwalim aliteuliwa tu ili kunutralize hali ya chama kipindi hicho DR . slaa akiwa katibu


Huu ndio ukweli japo wengi hawautaki
 
Back
Top Bottom