Ukarabati kichekesho Rusahunga - Rusumo

Inayojenga halo ni mayanga. Wanazuga tu pesa yote imeenda chato
 
Tatizo ni Engineer au tatizo ni Ufisadi? Maana hata kama design imefanyika vizuri, watu wakitaka kupiga lazima walipue kazi ili wabaki na chenji ya kutosha. On the other hand, hizo picha hazimaanishi kwa kazi ndio inaishia kujaza hayo mashimo pekee, kuna hatua zingine zinaweza kufuata hadi kufikia hatua ya mwisho ya kuweka changarawe, ila si lami. maana lami ni around bilioni 1 per kilometer,so labda wangetenga around 92bn tungeweza kuwa na matumaini
 
Hii barabara ni inachangia pato kubwa kwa taifa kuliko uwanja wa ndege uliojengwa chato.
 
Yaani maendeleo ya nchi yanapimwa na maendeleo ya DAR ES SALAAM...... KITUKO CHA MWAKA HIKI.
DAR KUKIJENGWA FLY OVER NCHI NZIMA INAAMBIWA IFURAHI KISA FOLENI IMEPUNGUA.... NONSENSE how does it help us tulio huku maporini
Kwa sababu Dar ndo inachangia zaidi ya 70% ya kipato cha nchi nzima kwa kifupi hata hivyo visima mlivyoahidiwa kuchimbiwa mostly ni kipato toka Dar na pia Dar soko la hao kuku unaofuga,mahindi unayolima huko bush ...so relax Dar ndo Tz Tz ndo Dar,nyie subirini visima na umeme wa rea unawatosha
 

Dar ndiko yaliko madini ya nchi hii, kilipo kilimo cha mazao ya chakula na biashara, vivutio vyote vya utalii, uvuvi wote unaopelekea biashara yote ya minofu ya samaki, mazao yote ya misitu, kunapozalishwa gesi, umeme hata maji ya kunywa?

Uchumi wa nchi hii chimbuko lake ni Dar es Salaam?

Hivi unazijua takwimu za uchumi wa nchi hii wewe? Au ni ubingwa wa kuandika utopolo tu?

Ulichoandika jombi ni kuonyesha tu ujinga wako uliopitiliza.
 

Be informed hakuna hatua yoyote iliyofuata baada ya hiyo kazi. 12Bn/- disappeared in thin air.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…