Ukali wa maisha Tanzania

Ukali wa maisha Tanzania

Exchange rate yako ni sh ngapi kwa mpaka dola moja kuwa 7500/ na dola mbili kuwa 15,000/? unapokuwa muongo uwe makini kukumbuka kuwa na sisi tunabadirisha fedha na hata taarifa za habari kila siku tunajulishwa exchange rate, kwa kwa bei ya sukari ya 1700-2000 inauzwa wapi hiyo kwani hata bei ya jumla hupati kwa bei hiyo?! Hapa nilipo sukari kilo moja ni tshs 3000/. Ukweli siku zote hukuweka huru.
Ni exchange ya nchi ipi unayoniulizia?
Hata hivyo maisha ya Watanzania si MAGUMU kama mnavyoongeza chumvi.
Swali moja nakuuliza. Je jana kwenye SHEREHE ZA MEI MOSI wale wananchi WALIOMIMINIKA uwanjani wakiwa na NYUSO za TABASAMU.
Je walilipwa ili WAFURAHI?
Mtu mwenye maisha magumu hata kwenye SHEREHE HAHUDHURII maana anapambana na maisha.
Hebu tuache UONGO tuseme kweli. Moshi jana watu walikuwa na FURAHA SANA? Sijui utasema nini.
 
Kabla ya kutoa LAWAMA kuhusu uchumi. Nataka nikupe hali halisi ilivyo kwa jirani zetu halafu uone kama kuna ukali wa MAISHA kuliko wenzetu.

1.UGANDA: Sukari juzi juzi ilikuwa ni dola za Kimatekani 0.98 cents ambazo ni kama shs 2500 za Tanzania. Na SASA ni Dola 1.21- 1.41. Hii ni karibu shilingi za kwetu ni elfu 15,000.

2.RWANDA: Bei ya Sukari ni Dola1.2 sawa na Tz shs 7000 za Tanzania.

3.KENYA: Bei ya Sukari nini Dola 3 kwa kilo mbili sawa na shilingi ya
Tanzania elfu 7500.

Tanzania bei ya Sukari ni 1800-2000 na zaidi kidogo .Hela ya Tanzania.

SASA nakuuliza katika nchi za AFRIKA MASHARIKI ni nchi IPI iliyo na MAISHA NAFUU?

Ukipata jibu basi HUTAKUWA tena na lawama ya kuilaumu nchi yako.
By the way hii imetokana na UKAME katika nchi zote za Afrika Mashariki. Na hivyo miwa KUPUNGUA?
Kwan ugumu wa maisha uko kwenye sukari peke yake? Usitufananishe na Kenya jana wameongezewa mshahara na kodi wamepunguziwa na nyingine zimefutwa kabisa.
 
Unajua Uchumi w Kenya kwa sasa ni Uchumi wa kati? Wale kipato chao ni kikubwa mno huwezi linganisha na Tanzania. Ukisema kwao Sukari ni Bei kubwa kuliko Tanzania unakosea kabisa halafu hizi Data sijui unatoa wapi wewe
Mkuu eti Data ninatoa wapi Jibu ni kuwa ninajua nini nakizungumzia. Sibabaishi hapa.
 
Amna kitu...dola 1.2 imefika 30k lini? Acha uongo....unajua ulichoandika kweli?
Huyu jamaa anaonekana mkadiriaji-mkadiriaji sana na si mhalisia kama elimu ya uchumi inavyomtaka mtu awe, Mimi mwenyewe wakati nasoma dollar yake kuwa inacheza 15k nikashikwa na butwaa amenifanya nirudi kuchek rate haraka!
 
Hivi unapozungumzia pato la mfanyakazi kulifananisha na kupanda bei kwa vitu unajiona upo sahihi kweli? Hujui kuwa wafanyakazi ni sehemu ndogo sana ya watanzania mil50 hivyo kigezo chako hujakidhi vigezo.
Lengo langu la kutumia pato la mfanyakazi wa serikali ni kwasababu mshahara wa serikali ndio standard ya mishahara ambayo watu wanapaswa kulipwa katika nchi husika. Ni kweli kuwa ni wachache sana, lakini kumbuka kuwa kima cha mshahara upangwa na serikali hata kama kwa huku kwetu kima hicho huwa hakizingatiwi na waajiri binafsi. Kwa nchi zilizoendelea suala la mshahara linazingatiwa sana kutokana na viwango vilivyowekwa na serikali husika. Katika nchi hizo ni rahisi sana kwa mwajiri binafsi kumlipa mfanyakazi wake mshahara mkubwa kuliko kima cha serikali lakini ni ngumu sana kumlipa chini ya kima kilichopangwa. Kwahiyo lengo langu halikuwa kumaanisha kwamba wafanyakazi wa serikali ndio majority bali ni kiwango cha pato la mfanyakazi kama serikali ilivyopanga.
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Ni exchange ya nchi ipi unayoniulizia?
Hata hivyo maisha ya Watanzania si MAGUMU kama mnavyoongeza chumvi.
Swali moja nakuuliza. Je jana kwenye SHEREHE ZA MEI MOSI wale wananchi WALIOMIMINIKA uwanjani wakiwa na NYUSO za TABASAMU.
Je walilipwa ili WAFURAHI?
Mtu mwenye maisha magumu hata kwenye SHEREHE HAHUDHURII maana anapambana na maisha.
Hebu tuache UONGO tuseme kweli. Moshi jana watu walikuwa na FURAHA SANA? Sijui utasema nini.
Mbona kuna uzi humu unasema walilipwa na wengi wao walikuwa wanafunzi na wanaCCM waliosombwa na malori.
 
Mbona kuna uzi humu unasema walilipwa na wengi wao walikuwa wanafunzi na wanaCCM waliosombwa na malori.
Mkuu hata ukiangalia tu.
Haikubaliani na swala la kulipwa. Mwenye uzi kama huo amejaa chuki.
Uchaguzi uliisha. Tugange yajayo. Na tukosoe mahali pa kukosoa na kutoa suluhisho.
Si pia kusifia kila kitu hata kile kisichostahili kinachohitaji marekebisho. Huo ndo mtazamo wangu.
 
Back
Top Bottom