Nani muasisi wa haya yote?? Nani aliyeanzisha kikosi kazi cha kuteka kuua na kubambikia wapinzani wao kesi??JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Unasema hv kwakuwa ww n mwananchi wa kawaida mtaani tuu na huna fursa fulani kama hao viongozi wa juu, ila ungekuwa rais au level yoyote hapo juu usingesema haya.
Jiulize, hao Marais wote, je kuna rais gn amepita bila kusikia jambo baya?
Enzi za JK watu wamenyooshwa, JPM Ndo moto kabisa, mama nae anapiga kwenye mshono.
Tatizo jeshini sio rahisi. Ila wanapolaumiwa ni kwamba wanavyopiga watu, wandishi, wapita njia nk, hayo sio maelezo wanayopewa. Wanafanya hivyo kujipendekezaIfike mahala vyombo vya dola na taasisi za usalama ziache kupokea tu amri dhidi ya wananchi wanaopaswa kulindwa.
Vyombo vya usalama vianze kuchuja mambo na kutoa kuonya kwa wahusika juu ya amri wazitoazo.
Hakuna jeshi la UN
Unataka tuanze kusema tuchukue silaha? Kama ingekuwa ni kuchukua silaha kupambana na CCM na jeshi lao la polisi, huenda hata mie ningefanya hivyo. Lakini ukichukua silaha unawachokoza tu JWTZ ambao hawana kosa katika yote haya, lakini itabidi wao ndio watumwe kukabiliana na wewe, na itabidi watii amri ya Amri Jeshi Mkuu. Ila uwezo wa kuzuia nchi kufika huko uko mikononi mwao.
Katika vitu ninavyotamani kutokea nchini ni JWTZ kuchukua nchiili tuanze upya.Jeshi la wananchi katika watu wanaowachukia namba moja ni Polisi .
Wanajua wazi kuwa polisi wanaonea sana watu .
Hivyo siku wakiingia mtaani ujue Watawapimzisha polisi na CCM na mafisadi wote na nchi itarejea kwa wananchi .
Jeshi likiingia mitaani ujua mpaka polisi watakungutwa Mikanda mpaka hali itulie na wananchi wakiwaona wanajeshi watawashangilia kwa furaha na CCM haitakuwepo tena .
Kenya wanajeshi walikaa mbali .
Katika watu wanaofuatilia sana saisa ni wanajeshi tofauti na polisi ambapo hawaelewi hata maana ya Demokrasia na sera za vyama hawana habari nazo . Wanajua ni CCM tu inaongoza bila kujua kuwa kuna uchaguzi unawapa watu mdaraka kwa kura .
Tuna viongozi/watawala werevu sana Sema sisi ni mazuzu to the extent that hata wao wanaogopaAu Zuzunia.
Ikimaanisha watanzania ni mazuzu
Bado hakuna Jeshi la UN.Kule Koo ongo na Sudana na hata hapa Tanzania hukawaona wakiwa na vifaru vilivyoandikwa UN?
UN inategemea mgongo wa Marekani na nchi za Ulaya kuvamia nchi yoyote wanayotaka . Na Tanzania ni dakika moja maana ndio nchi bikra iliyobaki yenye Rasilimali nyingi . Wanavamia na kuipiga kwa shinikizo la Marekani na washirika wake kisha vifaru vya UN vinasambaa mitaani kulinda wapotaji wa rasilimali zetu .
Tanzania ina amani tele kbs ila haina haki tu, hapo wanaenda na bosheni la kutunza aman ili ku brainwash watanzania!!Nimewasikiliza Raisi Samia na waziri wake Mchengerwa wakiongea kuhusu "kulinda" amani ya Tanzania, kwa namna ya ukali na kuonyesha watatumia nguvu kubwa kuilinda hiyo "amani", kiasi kwamba najiuliza, kama Tanzania ni nchi ya amani, kwa nini muongee kwa ukali namna hii na kutoa vitisho vya ajabu kiasi hicho kwa watu wanaoishi ndani ya nchi ya amani?
Huko Mbeya Mchengerwa ameongea kama yeye ndio Raisi wa Tanzania, mabavu, na vitisho utafikiri yeye ndioanaamrisha majeshi ya Tanzania
Ni wazi kama Tanzania ni nchi ya amani, na kuna tatizo au jambo limejitokeza, basi utatumia njia za amani kushughulikia mambo yanayoletwa mezani. Kwa nini utumie ukali na kutishia watu kwamba watakiona cha mtema kuni ikiwa unatambua kwamba hao watu ni sehemu ya nchi yenye amani?
Ni wazi basi ni nani hapa anaetaka kuondoa amani ambayo Watanzania tumeizoea sana nchini. Iweze Raisi Samia katika nchi ya amani anawaambia JWTZ wajiandae na mapambano wakati wa uchaguzi? Tanzania nchi ya amani unawaambia JWTZ wakae tayari kwa ajili ya uchaguzi mkuu? Kupambana na nani, wananchi? JWTZ Vs WTZ?
Katika nyumba yenye amani, ikitokea mtu mmoja analeta jambo, hata kama hulipendi au anatumia njia usizopenda kuliwakilisha, wewe mwenye kutambua thamani ya amani utashughulikia hilo jambo kwa amani, la sivyo wewe unaweza kuwa mbaya kuliko huyo mtu unaemtuhumu kuwa anatishia amani.
View: https://www.youtube.com/watch?v=mxArtpEEGng
View attachment 3317549