Ukaidi wa Zitto kwa Serikali

Ukaidi wa Zitto kwa Serikali

MkamaP

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2007
Posts
8,167
Reaction score
3,272
Zitto atakuwa anatumika. Na wanaomtumia ni watu wanaomwaminisha serikali haiwezi mfanya chochote maana wao Wana nguvu ya kuizuia serikali.

Zitto anaaminishwa kama vile Lowasa alivyowaaminisha kwamba anakuja nawafuasi wa CCM. Walimuahidi lakini baadae wakamwacha na wafuasi kiduchu.

Ndiyo hivyo inavyoweza tokea kwa Zitto, wanakuaminisha ila baadae watakuacha usote pekee yako. Zitto, tumia akili acha kutumika badala yake fanya siasa safi. Utakuja juta
 
Zitto atawasumbua sana, kiufupi brain ya Zitto ni kubwa mno! ukubwa wa akili za KB92 hutafananisha na GB kadhaa, the guys is too logical, he knows issues, na Jamaa anamjua kuwa ni threat, njama zoteee hizi ni kumfanya awe weak ila kwa mlango mwingine ndo mnampa kick kubwa kinyume na matarajio yenu.

mlishawahi kukaa na kujiuliza ni nini ambacho amehoji kinyume na taratibu na ni wapi ameongea jambo ambalo hali make sense? mwacheni aseme provide havunji katiba yoyote wala sheria za nchi. Zitto is my role model! thats it!
 
Halafu unajifanya umefunga Ramadhani, bora ule tu, uzandiki ulioundika hapa umeshakuondelea swaumu.

Ramadhani ndo nani? nielimishe plz.
Turudi kwenye maada, sisi tunaotoka kijijini tunafahamu namna gani ambapo wewe unapopata kikazi mjini na kuwasaidia kule kijijini wale unaowasaidia baadhi yao huamini kabisa wewe ni kigogo unaweza fanya lolote. Inafikia wakati wanaamini kabisa na wanakutumia vijana uwatafutie kazi wizarani, polisi ama hata ofsi ya Rais.

Hicho ndo kinatoa taswira kwa Zitto ya kwamba kuna watu kwa namna moja ama nyingine anawaamini sana ya kwamba wana nguvu kuliko Rais na serikali. Cha kumkumbusha tu Zitto ni kwamba Rais wa nchi za Afrika ana nguvu sana kuzidi mara kumi elfu mtu yoyote ktk nchi husika. Hapa namaana ya sitting president.

Namshauri tena Zitto arudi kwenye drawing table, anze siasa safi. Uwezo wa kufanya siasa safi na kupata umaarufu kupitia siasa safi anao.
 
Zitto atawasumbua sana, kiufupi brain ya Zitto ni kubwa mno! ukubwa wa akili za KB92 hutafananisha na GB kadhaa, the guys is too logical, he knows issues, na Jamaa anamjua kuwa ni threat, njama zoteee hizi ni kumfanya awe weak ila kwa mlango mwingine ndo mnampa kick kubwa kinyume na matarajio yenu. mlishawahi kukaa na kujiuliza ni nini ambacho amehoji kinyume na taratibu na ni wapi ameongea jambo ambalo hali make sense? mwacheni aseme provide havunji katiba yoyote wala sheria za nchi. Zitto is my role model! thats it!

Binafsi zijaona wapi Zitto amekosea, miongoni mwa mashtaka aliyofunguliwa wiki jana ni kosa la kurudia maneno aliyoyasema Magufuli kwamba wanafunzi wa UDOM walioondolewa walikuwa ni Vilaza.

" Rais ameacha #HAPAKAZITU sasa anafanya #HAPAKASITU"- Zitto Zuberi Kabwe (MB)
 
CCM bwana wakiambiwa ukweli eti ukaidi nyie mmeamua kuzuia mikutano ya vyama
 
Zitto atakuwa anatumika. Na wanaomtumia ni watu wanaomwaminisha serikali haiwezi mfanya chochote maana wao Wana nguvu ya kuizuia serikali.

Zitto anaaminishwa kama vile Lowasa alivyowaaminisha kwamba anakuja nawafuasi wa CCM. Walimuahidi lakini baadae wakamwacha na wafuasi kiduchu.

Ndiyo hivyo inavyoweza tokea kwa Zitto, wanakuaminisha ila baadae watakuacha usote pekee yako. Zitto, tumia akili acha kutumika badala yake fanya siasa safi. Utakuja juta
Hivi kweli ndiyo tuseme hakuna Lumumba anayetumia akili na kichwa/ubongo kufikiri zaidi ya TUMBO?
Maana wewe mleta mada ni wazi na shairi kuwa unatumia TUMBO KUFIKIRI, ua topic is CCM reliance always nonsense talking.
Hata kama mnalipwa buku 7, sasa haki za binadamu inatakiwa kuingilia kati maana huu ni udhalilishaji wa kuuza ufahamu.
 
Ramadhani ndo nani? nielimishe plz.
Turudi kwenye maada, sisi tunaotoka kijijini tunafahamu namna gani ambapo wewe unapopata kikazi mjini na kuwasaidia kule kijijini wale unaowasaidia baadhi yao huamini kabisa wewe ni kigogo unaweza fanya lolote. Inafikia wakati wanaamini kabisa na wanakutumia vijana uwatafutie kazi wizarani, polisi ama hata ofsi ya Rais.

Hicho ndo kinatoa taswira kwa Zitto ya kwamba kuna watu kwa namna moja ama nyingine anawaamini sana ya kwamba wana nguvu kuliko Rais na serikali. Cha kumkumbusha tu Zitto ni kwamba Rais wa nchi za Afrika ana nguvu sana kuzidi mara kumi elfu mtu yoyote ktk nchi husika. Hapa namaana ya sitting president.

Namshauri tena Zitto arudi kwenye drawing table, anze siasa safi. Uwezo wa kufanya siasa safi na kupata umaarufu kupitia siasa safi anao.
Hivi aliyoyaongea zitto wewe unaona sio sawa? Kuna mahali gani zitto kakosea? Kwa nini Hampendi kusikia ukweli?
 
MkamaP,

..umesahau Raisi alivyomsifia Zitto wakati alipolihutubia bunge?

..sasa leo Raisi huyo huyo kamgeuka anatumia maaskari kumzuia Zitto asitoe maoni yake.

..binafsi sielewi kwanini serikali ya awamu ya 5 hawajiamini kiasi hiki.

..Wawaache tu wapinzani wabwabwaje wakati wao wakipiga kazi. Watanzania wana uwezo wa kutambua nani anawaeleza ukweli.

Nb.

..Zitto siyo mtu wa kuburuzwa hata kidogo. Sasa ukiona ameungana na cdm dhidi ya Naibu Spika ujue huyu mama anavuruga bunge.
 
Zitto atakuwa anatumika. Na wanaomtumia ni watu wanaomwaminisha serikali haiwezi mfanya chochote maana wao Wana nguvu ya kuizuia serikali.

Zitto anaaminishwa kama vile Lowasa alivyowaaminisha kwamba anakuja nawafuasi wa CCM. Walimuahidi lakini baadae wakamwacha na wafuasi kiduchu.

Ndiyo hivyo inavyoweza tokea kwa Zitto, wanakuaminisha ila baadae watakuacha usote pekee yako. Zitto, tumia akili acha kutumika badala yake fanya siasa safi. Utakuja juta



Haya mkama P

Maana hii nchi ni ya ccm tu
 
Zitto atakuwa anatumika. Na wanaomtumia ni watu wanaomwaminisha serikali haiwezi mfanya chochote maana wao Wana nguvu ya kuizuia serikali.

Zitto anaaminishwa kama vile Lowasa alivyowaaminisha kwamba anakuja nawafuasi wa CCM. Walimuahidi lakini baadae wakamwacha na wafuasi kiduchu.

Ndiyo hivyo inavyoweza tokea kwa Zitto, wanakuaminisha ila baadae watakuacha usote pekee yako. Zitto, tumia akili acha kutumika badala yake fanya siasa safi. Utakuja juta
Wewe unamtumikia nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom