Yaani mkuu kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nako kuna magumashi? Kweli Serikali yetu hii ni balaa kwa kuwa mamlaka husika hazifanyi kazi yao ya vetting vizuri hasa katika kuajiri eneo nyeti kama hili la TAA na kwingineko.Ufanyike na TAA pia
Wee ni nani tafadhari, ebu funguka, maana umetoa kama kaamri fulani.Kutokana na report ya AG ya kuwa katika kampuni hizi mbili kuna vihio naomba ukaguzi Wa VYETI feki ufanyike haraka.
Wasisahau kwenye majeshi
Hapo panahitaji ukaguzi maalum
Wanaendelea na verification kote huko ulikokutaja.....[emoji134]Kutokana na report ya AG ya kuwa katika kampuni hizi mbili kuna vihio naomba ukaguzi Wa VYETI feki ufanyike haraka.
Mkuu yana ukweli haya?😱Jeshi la polisi nahisi kama wameanza
click here: Waziri wa kazi vipi kuhusu ukaguzi wa vyeti vya elimu katika kampuni binafsi?Kutokana na report ya AG ya kuwa katika kampuni hizi mbili kuna vihio naomba ukaguzi Wa VYETI feki ufanyike haraka.
Hata tulivopata uhuru haikufanyika hivyo!Ujinga mtupu huku kuchambua chambua kila siku habari ndiyo hiyohiyo kwanini wasifukuze wafanyakazi wote waanze upya kuajiri
huko gavamentini ukaguzi ni magumashi sasa huko kampuni binafsi si ndo watajikagua wenyewe