Ujumbe wangu kwa TCRA kuhusu Twitter

Ujumbe wangu kwa TCRA kuhusu Twitter

RJ-White

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2014
Posts
744
Reaction score
752
Mtandao wa Twitter ni nyenzo muhimu sana ya upashanaji habari kwa haraka na kuwezesha majadiliano kuhusu masuala mbali mbali ya kiuchumi, kijamii, kisiasa n.k. bila mipaka karibu ulimwenguni kote.

Kwa sehemu kubwa, kuipata au kutumia Twitter imekuwa jambo lenye ugumu kana kwamba domain ya Twitter imekuwa blacklisted au kuna hitilafu za kitaalam kwenye mifumo. Au ni simu yangu ndio ina shida?

Hii ina afya kwa ustawi wa Taifa katika zama hizi za “information age”?

Kutumia VPN ni gharama lakini pia kuna mazingira inakuwa ni kuvunja sheria.

TCRA, kwanini Twitter isiwe free na rahisi kutumia kwenye simu yangu kama ilivyokuwa mwanzo?
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuilaumu TCRA kwa ishu ya twitter kutokupatikana Tanzania.

Ni mamlaka ipi inasimamia mawasiliano nchini? Ni lazima utukane kuchangia hoja? Waafrika tuna shida gani? Nani aliyelaumu TCRA?
 
Hawa viongozi wetu wanao post kupitia tweeter,hivi wao wanatumia nini

Ova
 
Si niliskia twitter ilifungia Tanzania kwa kudaiwa bilion 44 au
 
Back
Top Bottom