Ujumbe wanaume walio na ndoa: Wanawake wanavyopambana kujikwamua kiuchumi ndoa nyingi zinazidi kuingia matatizo

Big up sana mkuu, umeshusha madini ya maana sana! Wale walio kwenye ndoa wapate funzo hapa
443218.jpg

Wanawake wenyewe ndio Hawa design ya Joyce Kiria???
 
Kuna tatizo kubwa sana zaidi ya watu tunavyodhani. Mtoa mada na wachangiaji wwngine unaona tatizo sijui ni demokrasia? Eti tatizo ni uanaharakati? Eti tatizo ni mwanamke kujitegemea kiuchumu. Hivi kwanini hamjiulizi kwanini wanawake wanaamua kupambana na kuchukua majukumu yenu? ? Na mtu anapoweza kuchukua na kukufanyia majukumu yako inategemea kabisaaaa akuheshimu? ?
Mpo humu mnajazana ujinga badala ya kuangalia wapi mnakosea. Mwanamme ukiweza kuhudumia familia yako na mke wako vyema huyo mwanamke atafanya au kuwa mwanaharakati wa nini? ?? Uhanaharakati unakuja katika kudai kitu fulani. Sasa kama anapata mahitaji na haki yake afanye Uhanaharakati wa nini? ??
Hii post na hizi comments zinaonyesha upeo mfinyu wa wanaume ambao Eti wanajiita vichwa. Ukiangalia miposti mingi humu utakuta ni looser anajisifia anavyofyatua watoto bila kuwahudumia sasa hapo mama wa watoto asijikwamue akungoje wewe? ? Posts kama hizi zinashabihiana na zile za kulalamika kuhudumia girlfriends /mademu zao eti wanawapiga mizinga.
Kwa ujinga huu mnaojipaka kama upupu kufumba na kufumbua mwanamke ataongoza Uchumi wa nchi ninyi mtabakia kulalamika.
Wanaume hasa vijana ndiyo wanategemewa na familia na taifa. USHAURI :Acheni Uzembe, Uvivu, Kutokuwajibika,KULALAMIKA . Wanaume ndiyo wanasababisha waafrika kuitwa SHITHOLE. Tekelezeni jukumu lenu la kuhudumia familia jzenu ILI KUWEKA HESHIMA NYUMBANI jishughulisheni jamani Kwa shughuli halali
 
Kuna tatizo kubwa sana zaidi ya watu tunavyodhani. Mtoa mada na wachangiaji wwngine unaona tatizo sijui ni demokrasia? Eti tatizo ni uanaharakati? Eti tatizo ni mwanamke kujitegemea kiuchumu. Hivi kwanini hamjiulizi kwanini wanawake wanaamua kupambana na kuchukua majukumu yenu? ? Na mtu anapoweza kuchukua na kukufanyia majukumu yako inategemea kabisaaaa akuheshimu? ?
Mpo humu mnajazana ujinga badala ya kuangalia wapi mnakosea. Mwanamme ukiweza kuhudumia familia yako na mke wako vyema huyo mwanamke atafanya au kuwa mwanaharakati wa nini? ?? Uhanaharakati unakuja katika kudai kitu fulani. Sasa kama anapata mahitaji na haki yake afanye Uhanaharakati wa nini? ??
Hii post na hizi comments zinaonyesha upeo mfinyu wa wanaume ambao Eti wanajiita vichwa. Ukiangalia miposti mingi humu utakuta ni looser anajisifia anavyofyatua watoto bila kuwahudumia sasa hapo mama wa watoto asijikwamue akungoje wewe? ? Posts kama hizi zinashabihiana na zile za kulalamika kuhudumia girlfriends /mademu zao eti wanawapiga mizinga.
Kwa ujinga huu mnaojipaka kama upupu kufumba na kufumbua mwanamke ataongoza Uchumi wa nchi ninyi mtabakia kulalamika.
Wanaume hasa vijana ndiyo wanategemewa na familia na taifa. USHAURI :Acheni Uzembe, Uvivu, Kutokuwajibika,KULALAMIKA . Wanaume ndiyo wanasababisha waafrika kuitwa SHITHOLE. Tekelezeni jukumu lenu la kuhudumia familia jzenu ILI KUWEKA HESHIMA NYUMBANI jishughulisheni jamani Kwa shughuli halali

Hadi wakumbuke akili walikozipeleka.
 
Kuna tatizo kubwa sana zaidi ya watu tunavyodhani. Mtoa mada na wachangiaji wwngine unaona tatizo sijui ni demokrasia? Eti tatizo ni uanaharakati? Eti tatizo ni mwanamke kujitegemea kiuchumu. Hivi kwanini hamjiulizi kwanini wanawake wanaamua kupambana na kuchukua majukumu yenu? ? Na mtu anapoweza kuchukua na kukufanyia majukumu yako inategemea kabisaaaa akuheshimu? ?
Mpo humu mnajazana ujinga badala ya kuangalia wapi mnakosea. Mwanamme ukiweza kuhudumia familia yako na mke wako vyema huyo mwanamke atafanya au kuwa mwanaharakati wa nini? ?? Uhanaharakati unakuja katika kudai kitu fulani. Sasa kama anapata mahitaji na haki yake afanye Uhanaharakati wa nini? ??
Hii post na hizi comments zinaonyesha upeo mfinyu wa wanaume ambao Eti wanajiita vichwa. Ukiangalia miposti mingi humu utakuta ni looser anajisifia anavyofyatua watoto bila kuwahudumia sasa hapo mama wa watoto asijikwamue akungoje wewe? ? Posts kama hizi zinashabihiana na zile za kulalamika kuhudumia girlfriends /mademu zao eti wanawapiga mizinga.
Kwa ujinga huu mnaojipaka kama upupu kufumba na kufumbua mwanamke ataongoza Uchumi wa nchi ninyi mtabakia kulalamika.
Wanaume hasa vijana ndiyo wanategemewa na familia na taifa. USHAURI :Acheni Uzembe, Uvivu, Kutokuwajibika,KULALAMIKA . Wanaume ndiyo wanasababisha waafrika kuitwa SHITHOLE. Tekelezeni jukumu lenu la kuhudumia familia jzenu ILI KUWEKA HESHIMA NYUMBANI jishughulisheni jamani Kwa shughuli halali
Safi sana babeni majukumu yetu siyo mmekalia kusema mwanaume kichwa cha nyumba .nyumba Ipi hiyo wakati hata bei ya sukari hujui
. Wakati 75 % wamebaki wanaume suruali
 
Ndio maana tunawaachisha kazi
Ni wachache sana wanaowaachisha wake zao kazi wanaweza kuwahudumia baada ya hapo.
Hizi harakati za mwanamke kufanya kazi zimesababishwa na wanaume wenyewe.
Mume anashindwa kuhudumia familia ipasavyo na sio kama hana uwezo bali kwa makusudi tu,hata kusomesha watoto inakuwa shida. Na wengine kutelekeza familia kabisa..hapo ndo mwanamke alipoanza kuchakarika ili aweze kulea watoto na kujitunza yeye mwenyewe.
Mimi kama mwanamke ningefurahi kubaki nyumbani kutunza nyumba na familia kwa ujumla lakini mambo hayapo hivyo kwa sasa...na mmeenda mbali zaidi mnasema hamtaki mwanamke golikipa. Hamueleweki nini mnataka. Na mlivyoambiwa muishi nasi kwaakili tatizo ni kwamba wengi wenu hiyo akili hamna.
Uharakati wa kutaka usawa ndani ya ndoa siutetei, mume atabaki kuwa mume na mke atabaki kuwa mke!
 
Asante sana ndugu yangu wadamu Bujibuji , neno lako limeniongezea sehemu katika fikira zangu .
Moja ya sababu moja kubwa ninayoiamin ktk kuchagua mke ni ;-

Kuhakikisha hufanyi Upendeleo , upendeleo sababu ya elimu yake ,sababu ya kazi ,sababu wapi anatoka n.k hii nisababu Biblia inasema UPENDELEO hudanganya .na UZURI ni batili !!.

Kuoa nitaoa, awe kasoma au hajasoma ,awe kazi au asiwe nakazi so long as Ninakipato cha kumkimu yeye na wanangu nitamuoa tu ila nilazima Ajue Mimi ninani kwake ? Nayeye NINI ??? Namimi nayeye ni akina nani ?? ...Amna kitu nachokipenda kwa mwanamke Kama Anasali , alafu anipe mawazo ya maisha nayeye ahusike na ujenzi Wa familia tu.
 
Hivi tumewahi fanya taft tukaona kwann baba zetu na babu zetu waliweza kudumu kwenye ndoa na mpaka wakazikana?.Hatuwezi kukabiri tatizo bila kujua chanzo ni kipi cha tatizo.

Ndoa ni mkataba wa hiari wa mwanaume na mwanamke wa kuishi pamoja kwa shida na raha.Majukumu yote ya ndoa anaetakiwa kuyabeba ni mwanaume bila kujarisha ana uwezo au hana.Unapo fika wakati wakuo mwanamme anajipanga na kujitathimini kama ana uwezo wa kuhudumia familia ndoo maana anaanza harakati za kumtafta mke ili atengeneze familia.

Lakini kwa sasa imekuwa ni tofauti mwanaume anatafta mke alienakazi ili ambebeshe majukum yake kana kwamba huyo mke ndoo kaoa.Kwa mwanaume ambaye anapo amka na kuacha buku moja baadala ya buku mbili inayotosha mahitaji ya familia unategemea mwanamke afanye nn? Hapo ni lazma uana harakati uanze ili aweze kutunza familia.

Angalia waarabu kwani ndoa zao ni zaheshima na zinadumu? ni kwa sababu wanawake sio mwanaharakati wala wanademocrasia wanakaa nyumbani kwa ajili ya kumlea mme na familia kwa ujumla.Mwanaume ndoo mtaftaji anapambana kuitaftia familia yake na akirudi anamkuta mke wake amemsubiri kwa ham na kumliwaza na kumfariji na kupata nguvu za kiendelea kupambana.

Sasa kwakuwa mmechagua uzungu kwamba mnaogopa umaskini bila kuwa na mwanamke mwenye kazi maisha yatakuwa magum na maendeleo hayatakuwepo ambapo ni ujinga uliopitiliza bila kujua kuwa mwanaume ukiangaika na ukamuomba mungu kila kitu kinafanikiwa.
Babaangu amekuwa na watoto wasiopungua saba na toka amuoe mamaangu miaka 37 iliyopita ila mama hakuwa na kazi na alibaki kutulea ss na mme wake,na ss wote timesoma mpaka elim ya chuo kikuu na kazi tukapata na mzee ameendelea na makampuni yake bila mke wake kuwa na kazi.

Wanaume matatzo yote tunayataka ss kwahiyo acha tudharauriwe na haitaisha mpaka dunia iishe rabda tujisahishe pale tulipo kosea
 
Back
Top Bottom