Kwa sisi watu wazima kidogo PB ya kipanya walau unaokota mawili matatu pamoja na sports extra. Umri wetu umesogea mambo ya ubuyu na sisi wapi na wapi?Clouds ni redio ya teenagers.
Mtu mwenye akili timam hawez skiliza,redio ya watoto wa shule na wanafunz wa vyuo.
Kwa mtu mwenye akili timam ukiskiliza clouds utajifunza nini?
Vipind vyao vyote vinalenga hao adolescent.