Akilidebe
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 204
- 124
Uthibitisho mkuuIvi ile nyimbo ya kivuruge ni dongo kwa Zamaradi mke wa Ruge.
Uthibitisho mkuuIvi ile nyimbo ya kivuruge ni dongo kwa Zamaradi mke wa Ruge.
sikiliza terminal LeoClouds ni redio ya teenagers.
Mtu mwenye akili timam hawez skiliza,redio ya watoto wa shule na wanafunz wa vyuo.
Kwa mtu mwenye akili timam ukiskiliza clouds utajifunza nini?
Vipind vyao vyote vinalenga hao adolescent.
Hatuishi kwa kujifunza tu pekee bali wakati mwengine unahitaji kuburudika pia.Clouds ni redio ya teenagers.
Mtu mwenye akili timam hawez skiliza,redio ya watoto wa shule na wanafunz wa vyuo.
Kwa mtu mwenye akili timam ukiskiliza clouds utajifunza nini?
Vipind vyao vyote vinalenga hao adolescent.
Nitasikiliza mkuu. Niambie saa ngapi. Nitatoa mrejesho. Terminal ndo kipindi nisichokijua kabisa. That's why sikukitaja.sikiliza terminal Leo
Kibonde ni mtangazaji wa ovyo kuliko wote hapa tz, kila kitu akifanya Rais ata kijiwa kibaya ye anasifiaKibonde anaondoa wafuatiliaji wa kipindi cha Jahazi ikiwemo mimi, jamaa sidhani kama amesomea ethics za utangazaji ..ishu ya kawaida anaweka siasa za upande mmoja (sijakataa ni chaguo lake ila akumbuke mamilion ya watanzania wanamsikiliza na kila mmoja ana msimamo wake) , mambo ya pombe kama kila mtu mnywaji aisee kiukweli siwezi kaa nisikilize JAHAZI kama jamaa akiwepo studio mara kumi Garderner na G.Bantu.
Vipi habari kuwa Wasafi Fm & Wasafi TV ni ya Joseph Kusaga pia.Kwa mchango mdogo japo sina umri ila mpaka sasa Clouds Media Groups imepoteza ushawishi kwa jamii tena mkubwa.
1.Kitendo cha wao kuanzisha bifu za wazi na media zingine na dhahiri kimepunguza mvuto kwa kuwa wanashindwa kujificha mbele ya Public.
2.Ruge huyu ndio tatizo amefika hatua ambayo yeye ndio boss hata mtangazaji wa Clouds hawezi kumtaja au kumuandika huyu jamaa bila kusema neno boss na ukiwa na nafasi yoyote katika jamii alafu huwa fanya kitu mpaka wewe ujulikane ni nani au kutaja cheo chako ujue kuna shida hapo na Kubwa amekuwa na bifu za kijinga.
3.Kitendo cha kila msanii wa kike ili aweze kutoka hawa watu wa hii media lazima mmoja wapo awe anamega nalo shida kwa kuwa watakuwa wanapigisha nyimbo zake kimahaba tu sio utandaji.
4.wamekuwa hawawezi kuficha hisia zao pindi wanapokuwa kwenye Mahusiano na msanii wa kike mfano Nandy kila kipindi cha Clouds lazima watapiga nyimbo yake.
5.Ubunifu umeisha kwao kilichobaki ni bifu na watu tu ili waendelee kufuatiliwa.
MWISHO inatakiwa wajitathimini ujio wa @Wasafitv na @Wasafifm maana nimeangalia comment za kwenye jinsi hawa jamaa walivyoshindwa kusupportiwa.
Maneno tu unajua binadamu ni wanafiki sana hata Jide alisema wabongo hawataki mtu afanikiwe.Vipi habari kuwa Wasafi Fm & Wasafi TV ni ya Joseph Kusaga pia.
Kishoga kileKibonde anaondoa wafuatiliaji wa kipindi cha Jahazi ikiwemo mimi, jamaa sidhani kama amesomea ethics za utangazaji ..ishu ya kawaida anaweka siasa za upande mmoja (sijakataa ni chaguo lake ila akumbuke mamilion ya watanzania wanamsikiliza na kila mmoja ana msimamo wake) , mambo ya pombe kama kila mtu mnywaji aisee kiukweli siwezi kaa nisikilize JAHAZI kama jamaa akiwepo studio mara kumi Garderner na G.Bantu.
Powerbreakfast pia wamelenga teenegers??Clouds ni redio ya teenagers.
Mtu mwenye akili timam hawez skiliza,redio ya watoto wa shule na wanafunz wa vyuo.
Kwa mtu mwenye akili timam ukiskiliza clouds utajifunza nini?
Vipind vyao vyote vinalenga hao adolescent.
