Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Jamani eeh!
Kuna mwalimu fulani yuko mafunzoni katika Chuo kimoja wapo hapa nchini.
Hivi majuzi alinitumia ujumbe wa simu ambao ulinifanya nijiulize mara mbili kama anastahili kufundisha mtoto wangu (sijui wa kwako).
Ujumbe 1:
Corruption to Africans will never get treatment until the return of Jesus, the problem is that Kikwete has allowed unlimited democracy. Mr Kennedy (nadhani alikuwa akimaanisha JF Kennedy), former US president told his people: "don't ask what America will do for you; ask yourself what will you do for America"
Ujumbe 2:
The challenges we have are due to the nature and origin of the country (nadhani alikuwa anamaanisha Tanzania). People fail to use logical thinking. Slaa is just lieing people. Kikwete is great.
Ujumbe 3:
(Huu sitauweka jamvini. Jamaa alifika mbali hata kuanza kumbeza Profesa Mwesiga Baragu. Hili ninalishughulikia mimi mwenyewe kwa njia ya maombi.)
Jamaa namfahamu vizuri sana in and out. Wala sitaki kuzungumza mambo ya familia zetu masikini wa kutupwa (wazazi wangu na wake).
La muhimu hapa ni kwamba huyu ni mwalimu ambaye anasomea diploma.
Karibuni jamvini.
Kuna mwalimu fulani yuko mafunzoni katika Chuo kimoja wapo hapa nchini.
Hivi majuzi alinitumia ujumbe wa simu ambao ulinifanya nijiulize mara mbili kama anastahili kufundisha mtoto wangu (sijui wa kwako).
Ujumbe 1:
Corruption to Africans will never get treatment until the return of Jesus, the problem is that Kikwete has allowed unlimited democracy. Mr Kennedy (nadhani alikuwa akimaanisha JF Kennedy), former US president told his people: "don't ask what America will do for you; ask yourself what will you do for America"
Ujumbe 2:
The challenges we have are due to the nature and origin of the country (nadhani alikuwa anamaanisha Tanzania). People fail to use logical thinking. Slaa is just lieing people. Kikwete is great.
Ujumbe 3:
(Huu sitauweka jamvini. Jamaa alifika mbali hata kuanza kumbeza Profesa Mwesiga Baragu. Hili ninalishughulikia mimi mwenyewe kwa njia ya maombi.)
Jamaa namfahamu vizuri sana in and out. Wala sitaki kuzungumza mambo ya familia zetu masikini wa kutupwa (wazazi wangu na wake).
La muhimu hapa ni kwamba huyu ni mwalimu ambaye anasomea diploma.
Karibuni jamvini.