Kuna habari kwamba ujumbe wa umoja wa mataifa umeelekea Loliondo majira ya asubuhi hii. Wajumbe waliolekea huko ni kutoka Dar na Arusha. Updates baadaye.
Nadhani kasikia mtaani.ila habari za uhakika ni kuwa maafisa wa WHO wameondoka jana official hapa dar kwenda Loly kuanza mchakato wa utafiti rasmi kikombe cha babu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.