Ujumbe wa ndani ya loliondo

Saharavoice

JF-Expert Member
Aug 30, 2007
3,879
2,369
Kuna habari kwamba ujumbe wa umoja wa mataifa umeelekea Loliondo majira ya asubuhi hii. Wajumbe waliolekea huko ni kutoka Dar na Arusha. Updates baadaye.
 
Nadhani kasikia mtaani.ila habari za uhakika ni kuwa maafisa wa WHO wameondoka jana official hapa dar kwenda Loly kuanza mchakato wa utafiti rasmi kikombe cha babu..
 
Back
Top Bottom